Nelly Huyu
Member
- Mar 31, 2011
- 35
- 3
Nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika.
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?
Hapa naskiliza habari live zinasema mauzo ya gesti yalipungua kweli leo, kulaleki! halaf kuna mdada tunatongozana daily lakini leo kagoma kujibu PM eti tuheshim kiama. hakyababu member wa JF waoga. Lizzy wenyewe na husninyo na michelle habari za kuaminika wameonekana nyumba za ibada za walemavu wakati wao hawana ulemavu wowote. Kamanda hatuna majeshi hapa JF tuna wapiga zogo tu
Nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika.
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?
Dahhhhhhmbona maswali yako yanafanana? Afu unatueleza huu upuuzi wako ili sisi tukuone we ndo kidume au? Kwamba we unatembea na wazungu hivy we ni HB au?
1. We ni malaya, punguza/acha kabisa hiyo tabia, utakufa.
2. Siku wote hao wakijuana utaonekana mwehu, jiheshimu bro!
3. Kama we ni malaya na unapenda hiyo tabia yako iwe siri yako, usituelezee sisi.
4. Jf ni mahali pa kuelimishana, sio mahali pa kusifia wanaume wenye wanawake 8 wa kizungu na kiafrika
5. Unaboa, jiheshimu uonekane mwanaume, sio kuwa na wanawake wengi tukuone malaya.
Sio kweli kwamba wnawake wote wanaosema asante ni kwamba wametoshelezwa. mara zote nilikuwa nasema asante kama ni njia moja tu ya kumpa hope na asijisikie vibaya lakini huku nikiwa bado mzitooooooooooooooo.
anyway sijawahi kupata raha lakini nasema asante
hakuna cha staha wala nini,ahsante hutoka kama kazi imefanyika vizuri kiunyume chake ntakukata jicho baya na misonyo ya kisirisiri huku nkiangalia kadude kako kwa dharau,unafanya maskhara nini kuachwa na unenge.Mwanamke yeyote mwenye staha husema asante baada ya hiyo kazi ngumu ya kumhudumia. Haijalishi amefika au la, maana hata ile kumsugua tu kunampa raha. Bt kwa mtizamo wangu, wanaume nao wanapaswa kushukuru baada ya shughuli.
Dahhhhhh
Maneno yote makali hayo ya nini?????
Kama umesoma vizuri alicho andika tangu mwanzo utaona kasema"NIMEWAHI" Which
Means is past tense.. lakini we unavyomjibu
na kumwita malaya ni kama vile anafanya sasa..
Itakuwa vema kumjibu mtu kutokana na
maelezo yake..
labda kaokoka sasa lakini sisi hatuwezi jua hilo..
Labda kweli hao 8 walisema thanx..Afro bwn mchizi anaboa, yeye anadai kila anaekuja anamwambia asante, na akauliza je, wanamaanisha? Means now, so he want us to say they mean what they say, so my friend dont you think that if we wil encourage him actualy we wil be loosing him? Let he know the truth, let we be strickt.
Labda kweli hao 8 walisema thanx..
Mimi kweli bado sijaona alipokosea
Ila alivyoandika "to much information"
Lakini ukiangalia kwa undani yeye kaji
express himself na kaamua kuwa free ku share experience yake.. hakutumia neno
lolote kali.. haina haja ya sisi kuwa strict
Maana hatuna undugu naye na sisi sio
Wazazi wake...
Mmhhh.
poa lakini kijana anatakiwa kuangalia mada anazozileta kwa wadau na style za kuzisubmit. Vinginevyo tutamwelewa vibaya sana.
heheehhe na huyu ndio shosti bana! ni memba pekee wa JF ambae akifariki itabidi tuomboleze siku tatu mfululizo.hakuna cha staha wala nini,ahsante hutoka kama kazi imefanyika vizuri kiunyume chake ntakukata jicho baya na misonyo ya kisirisiri huku nkiangalia kadude kako kwa dharau,unafanya maskhara nini kuachwa na unenge.
mhh wachawi wengi...ndo kwaaanza nna miaka 45 na kwa afya nliyonayo nadhani ntafikisha 104heheehhe na huyu ndio shosti bana! ni memba pekee wa JF ambae akifariki itabidi tuomboleze siku tatu mfululizo.
hivi unajua kiama kimepangwa tena mwisho wa mwezi?mhh wachawi wengi...ndo kwaaanza nna miaka 45 na kwa afya nliyonayo nadhani ntafikisha 104