Paskal Mayala?Kuna post ya ukurasa rasmi wa JF kule Twitter nimeona umepost kuwa zoezi la kuwasiliana na wanaoelekea kuwa washindi wa shindano la stories of change tayari limeanza
Je,kuna yeyote mpaka sasa kapokea ujumbe PM
Hutaki milioni 20Nimepokea Ila nimepotezea