Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Kama mtu unajiamini kuwa huchakachuliwi hovyo na siku zote unafanya maamuzi mazuri katika mahusiano kwanini uende kupima?Inaonekana siku hizi wapenzi wengi si waaminifu na ndio maana wakiachana kila mmoja hukimbilia kwenda kujua afya yake kwa kuhofia maambukizi,hongera babii kwa majibu mazuri!