Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 351
Wa kwanza - Ni wale ambao wanawake wanawatafuta kwa kuwatega na kujitongozesha
Kundi lipi hilo. Au la wale hata wakitongoza hawakubaliwi kwa wepesi. Au ni lipi.kuna kundi la tatu hapo sijaliona
Ukiona unapendwa sana......jua una nyota ya ukimwi........
Kundi lipi hilo. Au la wale hata wakitongoza hawakubaliwi kwa wepesi. Au ni lipi.
mara zote kila mwanaume yuko kundi zote mbili.........ili utongozwe na wadada lazima na wewe ufungue milango....kila mtu ana wanyonge wake......ukiona hutongozwi na wadada ujue huja pay attention...tu.....siku hizi kila mwanaume anatongozwa
Hata ww pia ushatongozwa??
we hujawahi tongoza?
kuna kundi la tatu hapo sijaliona
Sijatongoza