bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 836
- 2,805
Kuna ndugu yangu anaumwa hoi bin taaban kawekewa mavitu huko kazini na yeye sio muumini wa waganga akaona aende Direct kuonana na baba yake wa kiroho kuhani amsaidie maeneo ya temboni kuelekea kwa msuguri , kaambiwa na wasaidizi wa kuhani atoe milioni 1.5 amuone kuhani.
Baada ya kulipa hiyo hela chawa wa Kuhani wanamzungusha na kumpa kalenda kuwa angoje siku aliyopangiwa nabii yupo bize
Na risiti ya m 1.5 imetolewa nimechoka
Kiboko ya wachawi hakuwa peke yake.
Baada ya kulipa hiyo hela chawa wa Kuhani wanamzungusha na kumpa kalenda kuwa angoje siku aliyopangiwa nabii yupo bize
Na risiti ya m 1.5 imetolewa nimechoka
Kiboko ya wachawi hakuwa peke yake.