Ibravo
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 539
- 202
Hivi huu utaratibu wa kutoa elf 10 kwenda kumuona daktari kabla ya tiba ni sahihi wajameni !?
Nimetozwa mwekundu kumuona daktari wa ngozi (Temeke Hospital),maelezo niliyopewa na huyo Skin Specialist nikilinganisha na muda nilioutumia kuitafuta hiyo buku kumi hayalingani kabisa. Wa hali ya chin tunaumia maana nimeshindwa kununua hata dawa naona kama nimeenda kumtunza daktari pumbaaavuu.
Serikali liangalien hili naona sasa watoa huduma za afya wameona kugoma ni kupoteza muda badala yake wanacharge pesa ambazo hazistahili.
Nimetozwa mwekundu kumuona daktari wa ngozi (Temeke Hospital),maelezo niliyopewa na huyo Skin Specialist nikilinganisha na muda nilioutumia kuitafuta hiyo buku kumi hayalingani kabisa. Wa hali ya chin tunaumia maana nimeshindwa kununua hata dawa naona kama nimeenda kumtunza daktari pumbaaavuu.
Serikali liangalien hili naona sasa watoa huduma za afya wameona kugoma ni kupoteza muda badala yake wanacharge pesa ambazo hazistahili.