Kumuangalia vyema mtoto wako

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
Caring-for-Child1.jpg




Ni jambo la busara kujitunza wewe na mwanao. Kutunza mtoto wako linaweza kuwa jambo la kukufurahisha, lakini ni kazi ngumu. Utampatia mtoto chakula/utamlisha mtoto mara ngapi na baada ua wakati mgani? Wewe hufanya nini mwanao anapolia au anapougua? Unozuia maradhia aje?



Unaweza kuwa mwepesi kushtuka/utakuwa na wasiwasi au lakini utayagundua hayo haraka. Utashtuliwa na ambayo unajua tayari. Katika sehemu hii, utapata kujua unayofaa kufanya utakapomleta mwanao nyumbani

Kumpeleka mwanao nyumbani
Mtoto aliyezaliwa anajiratibisha na ulimwengu ulio tofauti na joto na usalama wa tumbo la mamake. Watoto hawa wanastahili kupendwa,kulishwa, kuwekwa safi na wakiwa na joto inayofaa. Kuna mambo mengi mapya wazazi wanapaswa kujua.

Afya ya mwanao

Unafaa kumwita/kumpigia daktari wako kama utaona uafuatayo kwa mwanao:
Kukosa kula/kukataa chakula
Kuwa na rangi isiyostahili
Nguvu kidogo
Joto la juu ya 380c chini ya kwapa
Ghasia/fujo zisio za kawaida
Kulala zaidi ya kawaida
Kutapika au kuhara
Shida za kupumua


Kumbadilisha nepi



Usimwache mwanao juu ya meza ya kumbadilishia nguo sababu anaweza kuanguka na kuumia. Weka kila kitu unachohitaji juu ya meza hii au karibu nawe. Wakati unasafiri, beba kila kitu kwa kifuko cha ‘diaper’.

Jinsi ya kumbadilisha napi
Mlaze mwanao mahali dhabiti na tambarare kama kwa meza kasha ufungue diaper iliyochafuliwa.
Inua miguu ya mwanao kwa kuishikia kwenye kufundo na utoe ‘diaper’ hio.
Osha mwanao vizuri kwa kutumia katani na maji moto (kwa watoto wachanga sana).
Hakikisha umempamgusa mwanao mbile na nyuma ili kinyesi kisitapakae kea sehemu zingine za mwili.
Tumia uvumbi wa wanga wa nafaka (comstarch powder) au Fulter’s Earth na usiguze uso. Usitumie uvumbi huu kwa watoto wachanga mno.
Pitisha diaper chini ya mtoto. Vuta sehemu ia mbele kati ya miguu na ufunge.

Vipele visabishwao na napi
Mtoto hutumia diaper kama kumi kwa siku. Kama hutomgeuzia mtoto wako ‘diaper’ atapata vipele. Hili hutokea kama mwanao atakuwa na maji maji (ulowevu) akiwa amevishwa diaper. Huu upele hukaa mwekundu na hukaa kwa siku chache. ‘Diaper rash inaweza sababishwa pia na sabuni ya vumbi ya kuosha ilizo na nguvu sana au vitu vya kufanya ngozi iwe nyororo, kwa hivyo kama kumweka mwanao safi na mkavu hakusaidii geuza bidhaa unazo muosha nazo.

Jinsi ya kushughulikia vipele vya napi
Unapongeuzia mwanao diaper mwache kwa dakika 10 ili apunge hewa
Lowesha nyuma ya mwanao kwa maji moto kisha ipanguze kwa tahadhari
Geuzia mwanao Diaper ma utumie napi kwa muda au kama unatumia napi geuza na uanze kutumia diaper kwa muda
Usitumie suruali za ndani zitakazo hifadhi ulowecu kwa diaper
Tumia cream’ kama Fissmn Paste kwa ‘rash’. Usitumie uvumbi au ‘lotion’

Kama vipele havittoweka baada ya siku tatu au mtoto anaanza kupata malengelenge, muone daktari wa watoto.

Kumnyonyesha mwanao



Kwa watoto wengi, maziwa ya mama ndicho chakula bora zaidi. Ni rahisi kwa watoto wako kulisaga kulicho ya kununua (infont fomula). Maziwa ya mama humlinda mtoto kutokana na maradhi Fulani na waru wengine hudhani pia husaidia kumfanya mwanao mwerevu. Maziwa ya mama pia huwa na viwango vistahilivyo vya mafuta, sukari, maji na protein. Kumnyonyesha mwanao pia huhifadhi wakati na pesa.

Mnyonyesha mwanao anapokuwa na njaa au baada ya masaa 2-3. Kama mtoto wako anapata kuzichafua (kukonjolea na kukumia) nappy 6-8 ni ishara ya kwamba anashiba. Unafaa kungoja hadi mwanao atakapokuea na miezi 4-6 ili kuanza kumlisha chakula kikavu. Ni jambo la busara kuuliza daktari wako aina ya chakula unachofaa kumlisha mwanao au wakati unataka kumpatia chakula kipya ambacho hujawahi kumpatia tena.
 
Kumpa maziwa kwa chupa



Kama unamlisha mwanao kwa chupa, hakikisha umechanganya maziwa hayo sawasawa ili mtoto apate malisho yanayofaa. Pia zungumza na daktari wako wakati utaanza kumlisha mwanao mchanganyiko (familia) ulio na ‘iro’.

Vipi, lini na nini unalisha mtoto wako ni muhimu. Kila kitu kutoka aina yamchanganyika, joto la mchanganyiko na aina ya chupa unazotumia hujalisha. Unaweza ujumbe huu kutoka kwa daktari wako au kliniki.

Hakikisha umemuliza daktari wako kuhusu utakapoanzia kumpa mtoto wako chakula kikavu. Hata kama mtoto wako ataanza kujaribu kukifikia/kushika kijiko, ni vizuri umuulize daktari kwanza.


Kumuosha mwanao



Ni vizuri kumweka mwanao safi na mkavu km. kumgeuzia ‘nappy’ mara kwa mara. Hakikisha kuosha napi vizuri baada ya kuchafuliwa. Uso, sehemu za siri na mikono ya mtoto wako zinafaa kuoshwa kwa sifongo (sponge) kila siku. Unafaa kumwosha mwili wote baada ya siki mbili au tatu. Watoto wachaga bado wana ugue wa kitovu. Unapaswa kumwosha kwa sifongo hadi wakati ugue huu utakatika kabisa. Uoshe ugue huu kwa uangalifu mwingi na utumie mvinyo (spirit) wa upasuaji uliotiwa kwa kitakia cha katani. Usivute ugue wa kitovu unapaswa kujiangusha mwenyewe.

Usije ukamwacha mwanao ndani ya karai la kuogea. Watoto wanaweza kufa maji yaliyofika inchi mbili tu. Unapomwosha, hakikisha una vifaa vyaa kumwoshea, sabuni na kadhalika ili usimwache mwanao kwa karai la kuogea bila wakumwangalia unapoenda kuvichukua.

Maji yaliyo moto sana huenda yakamchoma mwanao. Kama unakifaa cha kupasha maji moto weak kwa joto la 49oC . Pima joto la maji kwa kiko cha mkono wako. Kabla hujamweka mwanao ndani na uhakikishe maji ni vuguvugu


Kumvisha nguo



Mvishe mwanao na kunjo moja zaidi wakati yu mchanga na jiepushe na kumwacha mwanao kuliko na baridi kwa muda mrefu.
Watoto hupoteza joto haraka sana, hivyo hakikisha umewafunika kichwa na miguu
Wakati kuna joto jingi, mweke mwanao mbali na jua. Linda mwanao kna nguo za mikono-mirefu(long-sleeve), nyepesi na umweke kivulini
Nguo zote mpya zinafaa kufuliwa kabla ya kutumia

Kuota meno



Mtoto wako atakapofikisha miezi sita, ataanza kuota meno. Watoto wengine huanza kkuudhika kwani huumia kabla meno hayajatokea kwa ufizi. Watoto wengi humwaga mate sana na hutaka kutafunatafuna vitu. Wakati mwingine watoto hutapika au kuhara wakiota meno.

Kwa kawaida kuota meno hakufanyi mtoto kupandwa na joto. Kama mtoto wako atapata joto. Kama mtoto wako atapata joto, yaweza kuwa jambo lingine. Hakikisha umemwona daktari wa watoto.

Mawaidha wakati mtoto anaota meno
Wakati wa kulala, weka kitambaa safi chini ya kichwa cha mwanao ambapo ule utamwagika. Unaweza kibadilisha kitambaa hichi kitakapo loweka ute.
Mpatie mtoto kitu cha kutafuna ambacho hakitamdhuru. Usimpatie kitu kidogo sana kwani anaweza kukimeza. Unaweza kumpatia vidunde vya mpira visivyokuwa na majimaji ndani kwani vyaweza kupasuka. Unaweza kumpa kijiko cha mpira au kitambaa safi.
Usifungilie kidunde cha kutafuna kwa shingo ya mwanao. Kinaweza kushikwa na kummyonga.
Kuna dawa nyingi dukani za kupiunguza maumivu wakati mwanao anaota meno. Hata hivyo, mwone daktari wa watoto kabla jujampa mwanao dawa yoyote

Baada ya mwanao kuota meno hakikisha unayatunza
 
Kumuona Daktari

Kuchagua daktari wa mtoto



Unatakiwa kumchagua daktari wa mtoto wako kama ungali mja mzito miezi 3 kabla ya kujifungua. Waulize marafiki, jamaa au daktari wako. Waweza kupata matibabu ya bure kwa watoto wachanga kutoka kwa hospitali za mikowa au kliniki za jamii, kwa malipo ya chini katika hospitali za serikali. Mchaguwe daktari uliye na imani naye aliyemzuri mwenye kuelewa na maono tofauti na pana.

Uchunguzi wa mara kwa mara


Mtoto wako anahitaji kuonekana na daktari kila mara ili akuwe kwa raha na afya. Watoto wana ratiba yao ya kupelekwa kwa daktari.

Kati ya masaa 24 baada ya kuzaliwa
Siku 2-4 baada ya kuzaliwa ikiwa mtoto atapelekwa nyumbani chini ya masaa 48 baada ya kuzaliwa.
Wiki 2-4
Miezi 2
Miezi 4
Miezi 6
Miezi 9
Miezi 12.

Unachotarajia kwa uchunguzi wa kila mara

Kila uchunguzi daktari hutizama urefu wa motto,uzito,na kichwa cha mtoto ili kufahamu jinsi motto anvyokuwa.Daktari pia atachunguza macho ya mtoto, masikio, mapafu, moyo, mdomo, sehemu nyeti na tumbo. Katika muda wa mwaka mmoja mtoto wako antakiwa kukaa,kugaagaa na kujivuta mwenyewe hadi asimame.

Chanjo:

Mtoto kupelekwa kupata chanjo ni muhimu, inapendekezwa watoto wapate chanjo hizi kuzuia maradhi kuhatarisha maisha yao.

Homa ya manjano B (Hepatitis)

Dondakoo, Pepopunda na Pertussis – Diptheria, Tetanus, Pertussis (DTP)
Polio
Surua, matumbwitumbwi, Rubella – Measles, Mumps, Rubella (MMR)
Haemophilus influenzae type B (HIB)
Varicella, Tetewanga – Chicken Pox

Kumpeleka mwanao nyumbani
Mtoto aliyezaliwa anajiratibisha na ulimwengu ulio tofauti na joto na usalama wa tumbo la mamake. Watoto hawa wanastahili kupendwa,kulishwa, kuwekwa safi na wakiwa na joto inayofaa. Kuna mambo mengi mapya wazazi wanapaswa kujua.

Afya ya mwanao

Unafaa kumwita/kumpigia simu daktari wako kama utaona uafuatayo kwa mwanao:

Kukosa kula/kukataa chakula
Kuwa na rangi isiyostahili
Nguvu kidogo
Joto la juu ya 380c chini ya kwapa
Ghasia/fujo zisio za kawaida
Kulala zaidi ya kawaida
Kutapika au kuhara
Shida za kupumua

Kuwaelewa Watoto
Kumuelewa mtoto wako ni muhimu sana, ili kushughulikia mahitaji yake. Watoto ni tofauti kuelewa ishara zake kutaendelea katika kila kiwango. Ikiwa una haja ya kufahamu tabia za mwanao, muite daktari wa watoto au nenda katika kliniki ya jamii.

Mtoto wako anvyokua na kubadilika hata ishara zake zitabadilika, lakini miezi michache ya kwanza kulia kutakuwa ndio njia ya pekee ya mawasiliano.

Kumliwaza mtoto wako anapolia
Hata kama mtoto haumwi na tumbo , kumnyamazisha motto anayelia ni vigumu sana . Kama umejaribu kila mbinu na hujafaulu , jaribu yafuatayo:


Mfunge mtoto kwenye vitambaa au blanketi ili ahisi joto kiasi na atulie.
Jaribu kucheza muziki muororo au muimbie nyimbo za kumbembeleza.

Mbebe kwa makini au nenda matembezi naye katika gari lako na hakikisha umemkalisha nyuma.
Kumkanda mgongoni au tumboni kwa weza kumliwaza hasa kama ana hewa tumboni.

Kumnyonyesha
kwa weza kutuliza mdundo wa roho yake kutuliza tumbo lake na viungo pia.
Habari njema ni kuwa watoto hupita hatua hii wanapokuwa. Mtoto wako anapokuwa wiki 6 au 8 watakuwa katika hali ya kuweza kujiliwaza na kulia kwingi kutakwisha.

Kwa Nini watoto Hulia?

Njaa:
Mtoto anaweza kuwa njaa.Watoto hula kama mara 8 hadi 12 kwa siku wanaponyonya,na mara 6 hadi 10 kwa siku anaponyonya chupa.

Nepi chafu: Mtoto hana raha anapokuwa kwa nepi chafu, akiachwa kwa muda mrefu ataambukizwa vipele.Mbadilishe nepi kila wakati.

Baridi au joto: Watoto wana ngozi nyororo na hupata baridi haraka.Wanahitaji kufunikwa vyema lakini sio kupita kiasi.
Umakinifu: Watoto wanachoka watalia.Mchukuwe na umpapase mgongoni ili afahamu upo.

Ugonjwa: Mtoto wako anaweza kuwa mgonjwa ,mtizame joto la mwili na wasiliana na daktari.
Hewa tumboni: Watoto wachanga huhitaji kukandwa kila mara au la hewa humjaa tumboni na kumpotezea starehe.

Usingizi: Mtoto akiwa amechoka na ana usingizi atalia,jaribu kumlaza apate usingizi.
Nitafanya nini ikiwa mwanangu bado yuwalia?

Pengine hutagunduwa kwa haraka shida zake, umejaribu mbinu zote na hajanyamaza. Anaweza kuwa na msokoto wa tumbo kwa masaa 2 au 3 kwa siku mara tatu kwa wiki. Msokoto wa tumbo humuondokea mtoto anapotimiza miezi 4.
 
mzizimkavu ukojuu sana mkuu nimekusoma nashukuru sana kwa shule yaleo maana wazazi wengi tunajisahau sana haswa pale tunapowaachia housegirl watoto wetu ina kuwa janga na wengine kupoteza maisha kiurahisi kutokana na kuachwa na nguo zilizolowana au kama sio hivyo usafi wanaofanyiwa sio wakuridhisha.Asante sana na ubarikiwe.
 
MziziMkavu nashukuru sana Mungu huku nilishapita. mwaya ahsante sana umenikumbusa with my kichanga nitajitahd kumtunza.
 
Last edited by a moderator:
Umeshapita yaani huzai tena? Hata tukitaka tupate katoto kamoja ka uzeeni mimi na wewe hatuwezi tena kupata?... gfsonwin

lolz! yani MziziMkavu na utu uzima huu nikaanze kusukuma mtoto labour , na mabinti wa miaka 20+ lol! au nikapate sessiorian section na uzee huu ilihali nimezaa mara 3 kwa kupush, hakuna cha stitch wala nini na tumbo safi hakuna makovu ya visu na ukiniona ni kama binti wa miaka 18 upo hapo. chezeya........... mwl weye. kwa sasa nakula maisha tu.
 
Last edited by a moderator:
lolz! yani MziziMkavu na utu uzima huu nikaanze kusukuma mtoto labour , na mabinti wa miaka 20+ lol! au nikapate sessiorian section na uzee huu ilihali nimezaa mara 3 kwa kupush, hakuna cha stitch wala nini na tumbo safi hakuna makovu ya visu na ukiniona ni kama binti wa miaka 18 upo hapo. chezeya........... mwl weye. kwa sasa nakula maisha tu.

ngoja si tuendelee na mashindano ya miss-labour
 
Last edited by a moderator:
Kumuona Daktari

Kuchagua daktari wa mtoto



Unatakiwa kumchagua daktari wa mtoto wako kama ungali mja mzito miezi 3 kabla ya kujifungua. Waulize marafiki, jamaa au daktari wako. Waweza kupata matibabu ya bure kwa watoto wachanga kutoka kwa hospitali za mikowa au kliniki za jamii, kwa malipo ya chini katika hospitali za serikali. Mchaguwe daktari uliye na imani naye aliyemzuri mwenye kuelewa na maono tofauti na pana.

Uchunguzi wa mara kwa mara


Mtoto wako anahitaji kuonekana na daktari kila mara ili akuwe kwa raha na afya. Watoto wana ratiba yao ya kupelekwa kwa daktari.

Kati ya masaa 24 baada ya kuzaliwa
Siku 2-4 baada ya kuzaliwa ikiwa mtoto atapelekwa nyumbani chini ya masaa 48 baada ya kuzaliwa.
Wiki 2-4
Miezi 2
Miezi 4
Miezi 6
Miezi 9
Miezi 12.

Unachotarajia kwa uchunguzi wa kila mara

Kila uchunguzi daktari hutizama urefu wa motto,uzito,na kichwa cha mtoto ili kufahamu jinsi motto anvyokuwa.Daktari pia atachunguza macho ya mtoto, masikio, mapafu, moyo, mdomo, sehemu nyeti na tumbo. Katika muda wa mwaka mmoja mtoto wako antakiwa kukaa,kugaagaa na kujivuta mwenyewe hadi asimame.

Chanjo:

Mtoto kupelekwa kupata chanjo ni muhimu, inapendekezwa watoto wapate chanjo hizi kuzuia maradhi kuhatarisha maisha yao.

Homa ya manjano B (Hepatitis)

Dondakoo, Pepopunda na Pertussis  Diptheria, Tetanus, Pertussis (DTP)
Polio
Surua, matumbwitumbwi, Rubella  Measles, Mumps, Rubella (MMR)
Haemophilus influenzae type B (HIB)
Varicella, Tetewanga  Chicken Pox

Kumpeleka mwanao nyumbani
Mtoto aliyezaliwa anajiratibisha na ulimwengu ulio tofauti na joto na usalama wa tumbo la mamake. Watoto hawa wanastahili kupendwa,kulishwa, kuwekwa safi na wakiwa na joto inayofaa. Kuna mambo mengi mapya wazazi wanapaswa kujua.

Afya ya mwanao

Unafaa kumwita/kumpigia simu daktari wako kama utaona uafuatayo kwa mwanao:

Kukosa kula/kukataa chakula
Kuwa na rangi isiyostahili
Nguvu kidogo
Joto la juu ya 380c chini ya kwapa
Ghasia/fujo zisio za kawaida
Kulala zaidi ya kawaida
Kutapika au kuhara
Shida za kupumua

Kuwaelewa Watoto
Kumuelewa mtoto wako ni muhimu sana, ili kushughulikia mahitaji yake. Watoto ni tofauti kuelewa ishara zake kutaendelea katika kila kiwango. Ikiwa una haja ya kufahamu tabia za mwanao, muite daktari wa watoto au nenda katika kliniki ya jamii.

Mtoto wako anvyokua na kubadilika hata ishara zake zitabadilika, lakini miezi michache ya kwanza kulia kutakuwa ndio njia ya pekee ya mawasiliano.

Kumliwaza mtoto wako anapolia
Hata kama mtoto haumwi na tumbo , kumnyamazisha motto anayelia ni vigumu sana . Kama umejaribu kila mbinu na hujafaulu , jaribu yafuatayo:


Mfunge mtoto kwenye vitambaa au blanketi ili ahisi joto kiasi na atulie.
Jaribu kucheza muziki muororo au muimbie nyimbo za kumbembeleza.

Mbebe kwa makini au nenda matembezi naye katika gari lako na hakikisha umemkalisha nyuma.
Kumkanda mgongoni au tumboni kwa weza kumliwaza hasa kama ana hewa tumboni.

Kumnyonyesha
kwa weza kutuliza mdundo wa roho yake kutuliza tumbo lake na viungo pia.
Habari njema ni kuwa watoto hupita hatua hii wanapokuwa. Mtoto wako anapokuwa wiki 6 au 8 watakuwa katika hali ya kuweza kujiliwaza na kulia kwingi kutakwisha.

Kwa Nini watoto Hulia?

Njaa:
Mtoto anaweza kuwa njaa.Watoto hula kama mara 8 hadi 12 kwa siku wanaponyonya,na mara 6 hadi 10 kwa siku anaponyonya chupa.

Nepi chafu: Mtoto hana raha anapokuwa kwa nepi chafu, akiachwa kwa muda mrefu ataambukizwa vipele.Mbadilishe nepi kila wakati.

Baridi au joto: Watoto wana ngozi nyororo na hupata baridi haraka.Wanahitaji kufunikwa vyema lakini sio kupita kiasi.
Umakinifu: Watoto wanachoka watalia.Mchukuwe na umpapase mgongoni ili afahamu upo.

Ugonjwa: Mtoto wako anaweza kuwa mgonjwa ,mtizame joto la mwili na wasiliana na daktari.
Hewa tumboni: Watoto wachanga huhitaji kukandwa kila mara au la hewa humjaa tumboni na kumpotezea starehe.

Usingizi: Mtoto akiwa amechoka na ana usingizi atalia,jaribu kumlaza apate usingizi.
Nitafanya nini ikiwa mwanangu bado yuwalia?

Pengine hutagunduwa kwa haraka shida zake, umejaribu mbinu zote na hajanyamaza. Anaweza kuwa na msokoto wa tumbo kwa masaa 2 au 3 kwa siku mara tatu kwa wiki. Msokoto wa tumbo humuondokea mtoto anapotimiza miezi 4.
Hii itanisaidia sana kumlea mwanangu "IKRIMA"ngoja namtafuta humu ndani then I will be back soon!
 
ndo nataka hivyo nitavipa interval ya wk nataka kufika 30 Mungu akinisaidia nifikishe 4 nastop

yaani ukweli ukiwapa wanao interval ya miaka 2 ukamaliza kuzaa na miaka 32 that is very good tena ukute huzai kwa siza kama wadad wa siku hizi lol unarudiaje usichana? yaani utakuta mwanao anaambiwa mdogo wako. ji keep smart and uwe mtu wa mazoez japo uwe unaruka kamba asbuhi na kupiga seat ups. yaani sijisifii lakin najipenda manake nimekuwa kama kabinti ka form iv ka jangwani.
 
yaani ukweli ukiwapa wanao interval ya miaka 2 ukamaliza kuzaa na miaka 32 that is very good tena ukute huzai kwa siza kama wadad wa siku hizi lol unarudiaje usichana? yaani utakuta mwanao anaambiwa mdogo wako. ji keep smart and uwe mtu wa mazoez japo uwe unaruka kamba asbuhi na kupiga seat ups. yaani sijisifii lakin najipenda manake nimekuwa kama kabinti ka form iv ka jangwani.
Hahaha?Vp maufundi yanachujaga kweli?
 
Kua binti?
How easy?

mbona unauliza kwa kushangaa spika? ni rahisi kwa mama anayemaliza kulea kuwa binti au anayelea. njia ni moja tu. anajikeep flexible kwa kufanya mazoezi anakuwa smart kimavazi na kila kitu na pia anahakikisha hanenepeani sana. plus lotion yako nzuri na ukaujulia mwili wako kimavazi mbona anakuwa binti kuliko umaowaona huko bara barani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom