Kuishi kwangu kote kenya hizo sifa mnawasingizia ,kama suala la kupiga hata bongo wanaume wanapigwa,sema tuu wanawake wa kenya wanapenda kuishi lifestyle ya kimagharibi tofauti na wale wa tanzania wanapenda kuishi third world lifestyle,kingine sio watu wa kuabudu waganga kabisa kingine when it comes about sex they are so freaking on bed,wakuamua kukupa anakupa yote ..tatizo lao llao hadi wanaume wabongo wawaponde ni vile wanavyoishi maisha ya kimagharib .akikupenda anakutamkia waziwazi kitu ambacho bongo hakitakaa kitokee
Mimi kenya naishi kama celebrity simply because ya lafudhi yangu na venye wakijua mi ni mtz ndio wanakutongoza hadi kero
Wàgomvi sana
mkuu falcon nialike pande hizo na mie niwafaidi hao wakeii. ipo kwenye to do list; visit majirani na kuwafaidi kudumisha jumuia yetu ya EA
mm bwana nawashangaa wanawke wa kny wanavotawaza na tishu,ukiwauliza wanasema hawawezi shika vima wala mjoko ..wanakanu viyaba.
Kuishi kwangu kote kenya hizo sifa mnawasingizia ,kama suala la kupiga hata bongo wanaume wanapigwa,sema tuu wanawake wa kenya wanapenda kuishi lifestyle ya kimagharibi tofauti na wale wa tanzania wanapenda kuishi third world lifestyle,kingine sio watu wa kuabudu waganga kabisa kingine when it comes about sex they are so freaking on bed,wakuamua kukupa anakupa yote ..tatizo lao llao hadi wanaume wabongo wawaponde ni vile wanavyoishi maisha ya kimagharib .akikupenda anakutamkia waziwazi kitu ambacho bongo hakitakaa kitokee
Mimi kenya naishi kama celebrity simply because ya lafudhi yangu na venye wakijua mi ni mtz ndio wanakutongoza hadi kero
CELEBRITY, do you even know what being a celebrity means? U mwongo wewe! Watanzania wengi humu wanafanya kazi ya ndani ya nyumba. Simply sababu hawa vitambulisho, hawajui kusoma, 3000 za Kikenya kwao ni hela nyingi sana. Unafanya kazi wapi nije nihakikishe! And for your information, hatupendi kiswahili, tunaishi kizungu!
aisee nimeoa "aterere"/kikuyu ya nyeri ni shida kupewa papuchi mpaka apende yy.
mm nafanya kazi moi avenue,ukuinitafuta hapo town kati utanibamba!
ha ha ha ha ha,mbona mchumba angu Akinyi hana matatizo kabisa....?
sasa unanifundisha mji?wewe nipe ushauri nimteme vp huyu mnyeri.