Aisee we vumilia ili akupatie zawadi ya Ukimwi kipenz
Dada unajua tabia za kiume wewe ngoja nitulie wanaume tunajijua hasa ukiwa na pesa hata wako inawezekana anakuheshim tu hakuoneshi ila nyuma ya pazia unaweza zimia.Aisee we vumilia ili akupatie zawadi ya Ukimwi kipenzi.
Ni sawa hakuna binadamu msafi kinachotakiwa heshima kama haipo🤷🏼♀️Dada unajua tabia za kiume wewe ngoja nitulie wanaume tunajijua hasa ukiwa na pesa hata wako inawezekana anakuheshim tu hakuoneshi ila nyuma ya pazia unaweza zimia.
Siyo Wanaume wote wanapenda kuchezea tope lenye harufu mbaya!!Mpe tiGo
Kwa jinsi ulivyojiweka hapa jukwaani inaonyesha ww ni mtu wa Mungu.Habari za muda huu ndugu zangu, ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko, mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.
Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka, huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana simu hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke, hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote "Unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio?". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.
Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika, akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.
Je, ni sawa nikimtafuta huyo dada?
Hii ndio point wanawake wapo tayari kuvumilia ufuska wako kama ndalama ipoMmeona wakuu, Tafuteni hela wakuu, Mwanamke husumbuka akili kwenye hela... Huvumilia kila tukio na hujaribu kulisolve kwa umakini ili asikukose kiufupi hela hufanya uvumiliwe wewe na ufuska wako😁
Chukua huu ushauri mtoa madaWala usimtafute jitahidi uwe mtu wa furaha usimuulize kitu huyo mumeo vaa pendeza usiwe mtu wa kujali kuchelewa kwake japo ina kera sana uone kama haja badilika
kimtazamo nyinyi niwengi na huyo men yupo kwenye mchujo kuwa makini pia jiandae kisaikolojia mwisho wako ukiwa mbaya maumivu yasiwe makali.Habari za muda huu ndugu zangu, ningependa kusaidiwa jambo.
Nimegundua kwamba mume wangu ana mchepuko, mwanzo alikua na michepuko ambayo sikuitilia maanani ila sasa kuna huyo dada yaani all the time wanapigiana simu imefika wakati akiwa off anatoka anaenda kushinda nae huko anarudi usiku sana.
Kimapenzi na ustaarabu nikaona nisika kimya kwasabu siku zote hua simuulizi kabisa hata kama nikijua katoka huko kuchepuka, huwa sipendi ugomvi namuacha tu ila huyu sasa ananitia wasiwasi. Imagine wanapigiana simu hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Kwakweli naumia sana nikashindwa kuvumilia nikamuuliza mwenzangu kwa upole na unyenyekevu kuhusu huyo mwanamke, hakunibu vitu vinavieleweka zaidi akanambia and I quote "Unataka nisiwe narudi nyumbani si ndio?". Kuna sehemu tulikua tunaishi mwanzo tukahama kabla hatujaona (kila mtu alikua ana apartment yake) akanambia nikitaka kujua nikawaulize watu tuliokua tumepanga nao kule wanajua habari za huyo dada.
Natamani sana nimtafute huyo dada nipate closure tu. Kwa maana ndoa hatujafunga bado ni taratibu za mila tu ndo zimekamilika, akaniomba kwa wazazi kwasabu tuna mtoto.
Je, ni sawa nikimtafuta huyo dada?
Akifuata ushauri huu atakuwa hana maana! Kitendo cha mume kurudi hapo ni kuwa anampenda achukue ushauri wa Nyakisesee 2Pole mkuu, mimi nakushauri ondoka hapo before it’s too late, don’t invest more time, more emotions sababu it will be very difficult to deal with when unthinkable happens … Huyo mwanaume hakupendi wala kujali hisia zako
Unampenda mtu unamuonyesha dharau za waziwazi…. Basi upendo Una maana tofauti kwa waja na jinsi ya ku express huo upendo… wengine dharau ndio upendoAkifuata ushauri huu atakuwa hana maana! Kitendo cha mume kurudi hapo ni kuwa anampenda achukue ushauri wa Nyakisesee 2
Tatizo unageneralize! Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke na Mwanaume. Kwa Mwanaume mtu anayelala naye Kitanda kimoja hadi asubuhi, anamthamini na kumpenda! Pengine hata sex si lazima. Kwa mwanamume kusex na mtu ni sawa na kupiga punyeto. Ni njia ya kutoa s.hahawa mwilini mwake. Hiyo huyo Mimi21 ndiye mke wa jamaa, wengine ni kwa ajili ya kuziondoa mwilini. Jinsi ya kufanya ni kujua wapi anateleza katika kuhakikisha mumewe anaziondoa mwilini mwake! Wanawake mkilifahamu hili mtatunza ndoa zenu.Unampenda mtu unamuonyesha dharau za waziwazi…. Basi upendo Una maana tofauti kwa waja na jinsi ya ku express huo upendo… wengine dharau ndio upendo
Acha kutetea upuuzi, wanaume wengi wanachepuka ila hawaonyeshi dharau za waziwazi, hakuna ndoa hapa…dada separate, mistake ni kusubiri abadilike na kutulia, it will never happen my dear.Tatizo unageneralize! Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke na Mwanaume. Kwa Mwanaume mtu anayelala naye Kitanda kimoja hadi asubuhi, anamthamini na kumpenda! Pengine hata sex si lazima. Kwa mwanamume kusex na mtu ni sawa na kupiga punyeto. Ni njia ya kutoa s.hahawa mwilini mwake. Hiyo huyo Mimi21 ndiye mke wa jamaa, wengine ni kwa ajili ya kuziondoa mwilini. Jinsi ya kufanya ni kujua wapi anateleza katika kuhakikisha mumewe anaziondoa mwilini mwake! Wanawake mkilifahamu hili mtatunza ndoa zenu.
Kwa kumalizia, ukitaka kujua watu wameathiriwa na pornography soma uzi wa sex fantasies utajua haiwezekani kufanyika katika ndoa bali nje ya ndoa. Hivyo michepuko ndiyo inayomaliza hamu ya wanandoa hasa wakiwa Vijana. Na huko wakishabilingishana na sarakasi Kibao wanarudi kwa wapendwa wao kuendelea na Kifo cha Mende kinachochosha. Umri ukifika wanatulia ndani ya ndoa