Prof Madiba's Son
Member
- Sep 14, 2014
- 92
- 31
Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote na kheri ya Maulid. Tafadhali naomba radhi kwenu nyote mliyochukizwa na andiko langu la tarehe 21 mwezi huu lenye kusema "Mimi ni wapekee kwenye familia yetu naomba mawazo na uwa nabaguliwa!"
Nimesoma maoni nikajikuta naingia mgogoro na nafsi yangu, moja siwadharau ndugu zangu laa! nawependa na siyo kusudio langu kuwadharau nawapenda sana ujumbe wangu ulifika vibaya sivyo nilivyo kusudia.
Pia mimi siyo mtu wa kanda ya ziwa ila nimejifunza mengi kutoka kwenu, pia na nyinyi pia punguza kuwabagua watu wa kanda hiyo. Lot's of love to all.
Nimesoma maoni nikajikuta naingia mgogoro na nafsi yangu, moja siwadharau ndugu zangu laa! nawependa na siyo kusudio langu kuwadharau nawapenda sana ujumbe wangu ulifika vibaya sivyo nilivyo kusudia.
Pia mimi siyo mtu wa kanda ya ziwa ila nimejifunza mengi kutoka kwenu, pia na nyinyi pia punguza kuwabagua watu wa kanda hiyo. Lot's of love to all.