Baada ya vyombo vya usalama kulifumbia macho lile tukio la kwanza, sasa naona huu mtindo unashamiri, huu ni uhalifu kama ulivyo uhalifu mwinginge, ni uvunjifu wa sheria na haki za binadamu.
View attachment 170994
Lakini huo ndio utaratibu waliojiwekea Wazanzibar toka enzi hizo,Ukiwa kwenye ndege mwezi kama huu Lubani anapolikabiri anga la Unguja anawatangazia abiria wake.Tupo anga la Unguja mda si mrefu tutatua,Huu ni mwezi wa mtukufu wa Ramadhan hakurusiwi kula wala kunywa barabarani kwani kufanya hivyo ni kosa kwa mujibu wa utaratibu wa hapa
Kwani kala cha kwake au kaiba?
Serekali haina dini kwa hapa dar kwahiyo huwezi kumgusa mtuHivi ikifika kwaresma wakristo nao wakianza utaratibu huu kariakoo patakalika kweli?