Kumpenda mtu asiyekupenda

Kumpenda mtu asiyekupenda

Umetisha mkuu.
Kwani yeye nani kwanza?!
Wangu mna roho 7 kama za paka dadeki,

Pisi juzi kati namwambia tuonane akasema hawez saivi yuko amepata anae mpenda, nikamwambia hongera na asante.

Nakutana nae njiani baada ya week buyu, ananitext badae mbona nimemtenga nilimjibu staki unitie majaribu kwa wake za watu kwa maana na mm nisha pata anae nipenda,

Alishia kusema nilikuwa nakutania jmn sio kweli, na mm nikamwambia huwa sitanii mm nisha pata mwingine, ikawa end.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom