Kumpenda mtu asiyekupenda

Kumpenda mtu asiyekupenda

Hizi ni stage za form two mpaka six hapo. Ukichelewa sana basi chuo. Kwa wale ambao hawajasoma ni miaka 14-21 au 22 hivi.

Ukishakuwa matured muda utakumbuka kama hukujibiwa text kama uliandika ni saa umejitupa kitandani, wakati unajiuliza hivi mbona sijajibiwa usingizi unakupitia ikifika saa kumi unakurupuka na emails ambazo ulisahau kujibu jana. Circle continues.

Ukija shtuka huyo uliyekuwa unadhani unampenda anataka kuolewa huku akikulaumu you are so busy, huna time nae n. K unampa na mchango.

Kwenye safari safari zako unakutana na mtu type yako, busy like you, katika kujuana mnaamua mchukue likizo mfahamiane, mnafunga ndoa, familia inaanzishwa huku mishe mishe zikiendelea tena kama awali.
 
Hizi ni stage za form two mpaka six hapo. Ukichelewa sana basi chuo. Kwa wale ambao hawajasoma ni miaka 14-21 au 22 hivi.

Ukishakuwa matured muda utakumbuka kama hukujibiwa text kama uliandika ni saa umejitupa kitandani, wakati unajiuliza hivi mbona sijajibiwa usingizi unakupitia ikifika saa kumi unakurupuka na emails ambazo ulisahau kujibu jana. Circle continues.

Ukija shtuka huyo uliyekuwa unadhani unampenda anataka kuolewa huku akikulaumu you are so busy, huna time nae n. K unampa na mchango.

Kwenye safari safari zako unakutana na mtu type yako, busy like you, katika kujuana mnaamua mchukue likizo mfahamiane, mnafunga ndoa, familia inaanzishwa huku mishe mishe zikiendelea tena kama awali.
Wewe ni wa Type hii ama ni Imajinisheni?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Like: Nakufahamu hadi kuishiwa hamu. Nakujua nje na ndani kuliko maboga niliyoyaoteshwa uani kwetu ...Hizindizo dharau za wanawake wa siku hizi. Usitegemee furaha toka kwa mwezi wako badala yake Mtegemee mamayako maana haitatokei mamayako kukuacha... however, Wanasema ":Ukitengeneza mazingira ya kupata faraja kwa wengine jiandae kulia! Kila mtu ajitambue mtu wa kwanza kujiweza ni yeye mwenyewe.. Ni vigumu mtu kujisaliti ama kujidanganya mwenyewe hivyo be the first to handle the best of you.
 
Giving someone all your love is never an assurance that they love you back.Don't expect love in return..Just wait for it to grow in their heart.But if it doesn't,be content it grew on yours.
Love is patient 😎
 
Hizi ni stage za form two mpaka six hapo. Ukichelewa sana basi chuo. Kwa wale ambao hawajasoma ni miaka 14-21 au 22 hivi.

Ukishakuwa matured muda utakumbuka kama hukujibiwa text kama uliandika ni saa umejitupa kitandani, wakati unajiuliza hivi mbona sijajibiwa usingizi unakupitia ikifika saa kumi unakurupuka na emails ambazo ulisahau kujibu jana. Circle continues.

Ukija shtuka huyo uliyekuwa unadhani unampenda anataka kuolewa huku akikulaumu you are so busy, huna time nae n. K unampa na mchango.

Kwenye safari safari zako unakutana na mtu type yako, busy like you, katika kujuana mnaamua mchukue likizo mfahamiane, mnafunga ndoa, familia inaanzishwa huku mishe mishe zikiendelea tena kama awali.
I wish I could, but hata niwe busy vipi kuna kamuda tu ntawaza mapenzi🤔
 
Back
Top Bottom