Kumpenda mtu asiyekujua

happymsafi

Senior Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
100
Reaction score
84
Jamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za nje naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.

Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.

Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.

Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
 

Njoo pm nikuambie kinachokusibu.
 
Bila shaka wewe utakuwa ni Giggy Money... kama sivyo bas ni ndugu yake wa karibu sana... cha kukushauri ni kuwa chupi ikishalowa kabadilishe uvae nyingine... pili haina haja ya kuwa na mwanamme coz ukimuona van Vicker tu unafika orgasm... How lucky you are!!
 

Hmm...yaani umejiunga jana tu halafu leo unakuja na thread kama hii?

Na huo mwandiko wako huo....you sound too familiar!

Anywho...happy Monday happymsafi.....
 
si gigiy money na sina undugu nae. hahaha ushauri wako kaaah
 
Sasa wewe,hapo kyupi ikishalowa unaendelea kuwa happymsafiii,au
unakuwa happymchafu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…