happymsafi
Senior Member
- Jul 4, 2016
- 100
- 84
jamani mwenzenu kunna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu hukooo naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kkukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu. yaani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mm naexist. jana nimeingia instagram account yake nmekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi. sijui kimentokea nini sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia!!
Very simple mathematics, mimi nafanana na huyo muigizaji njoo nikutibuasa nifanye nini nirudi ktk hali ya kawaida?
unaleta utani haya nduguVery simple mathematics, mimi nafanana na huyo muigizaji njoo nikutibu
Jamani mwenzenu kunna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.
Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.
Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi. Sijui kimentokea nini sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
unaeza ukaelezea ndo inakuaje hiyo?The Van Vicker fever!
sio mtanzania sikumtaja kwasabau zangu binafsiKweli unampenda. Mpaka umeamua kutomtaja just in case mke/mpenzi aliye naye asije akapita na kuleta shida kwa pande zote. Endelea tu.
si gigiy money na sina undugu nae. hahaha ushauri wako kaaahBila shaka wewe utakuwa ni Giggy Money... kama sivyo bas ni ndugu yake wa karibu sana... cha kukushauri ni kuwa chupi ikishalowa kabadilishe uvae nyingine... pili haina haja ya kuwa na mwanamme coz ukimuona van Vicker tu unafika orgasm... How lucky you are!!
Sasa wewe,hapo kyupi ikishalowa unaendelea kuwa happymsafiii,auJamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.
Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.
Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.
Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
Nanaumia mimi kwa kumenda Nyani Ngabu. Jamani karibu ninakunywa sumu.