Mkuuu Mungu anakuona,Mniambie
Hii mbaya sana aisee.Ukitaka awe kama boya wako hakuna kingine zaidi ya LIMBWATA.
Tena sana mkuu, ila hakuna njia nyingine ya kumfanya mwanaume boyaHii mbaya sana aisee.
Mpe limbwataUnawezaje kumfanya mwanaume apagawe kitandani? Kwa wale wazoefu. Ili ashindwe hata kucheat yani awe kama boya wako....