Elections 2010 Kumkubali kikwete ni kukubali yafuatayo

Masauni

JF-Expert Member
Aug 15, 2010
386
58
Naomba nieleze kwa ufupi mambo muhimu yafuatayo, ambayo kama taifa inabidi tuwe serious nayo,kipindi hiki si cha mzaha kama baadhi ya watu wanavyodhani; Dr. Slaa ameeleza vizuri sana kuhusu ahadi anazotoa na zote zinatekelezeka. Nakumbuka Katika uchaguzi wa kenya wapinzani walieleza kuhusu elimu ya bure, lakini chama kilichokuwa madarakani wakati ule KANU walipinga sana na kusema haiwezekani. Lakini Upinzani uliposhinda tuliona elimu kenya ikitolewa bure(sina uhakika mpaka level gani). Kumbuka sisi tuna resource nyingi zaidi ya kenya. Lakini nasikia kikwete anapinga ahadi za Dr. Slaa na kueleza watanzania kuwa ahadi hazitekelezeki. NAOMBA NIWAMBIE WATANZANIA WENZANGU
Kumchagua/kumkubali kikwete kuwa Raisi wa jamuhuri ya muungano kwa mara nyingine ni kukubali yafuatayo:

  • Ufisadi uendelee kama kawaida,

  • Elimu bure mpaka form six hatuitaki

  • Katiba mpya si muhimu kwetu haitusaidii chochote.

  • Matumizi ya makubwa ya serikali ni sawa tu yaendelee kama kawaida
Mtu mwenye akili timamu si dhani kama atakuwa tayari kuyakubali mambo hayo.
 
Natamani hii thread ingesomwa pia na wale ndugu zangu wa vijijini ambao wanaamini kuinyima kura CCM ni dhambi.
Ambao wanaamini madaraka yakichukuliwa na chama kingine itatokea vita kama ile ya Rwanda miaka ya 90.
Tatizo ni vijijini, huku mijini watu wanayaelewa madhara ya kumrudisha tena huyu muungwana.
 
Tuendelee kuorodhesha hapa:

  • Wawekezaji waendelee kuyalamba madini yetu kama watakavyo, kwa sababu ya mikataba ya kifisadi, inayoweka mbele maslahi ya wabu fulani wachache........
 
  • kuendelea kudanganywa katika mengi: eti kila mmoja atakuwa na maisha bora, jambo lililoshindikana kwa miaka yote zaidi ya 40!!
 
naomba nieleze kwa ufupi mambo muhimu yafuatayo, ambayo kama taifa inabidi tuwe serious nayo,kipindi hiki si cha mzaha kama baadhi ya watu wanavyodhani; dr. Slaa ameeleza vizuri sana kuhusu ahadi anazotoa na zote zinatekelezeka. Nakumbuka katika uchaguzi wa kenya wapinzani walieleza kuhusu elimu ya bure, lakini chama kilichokuwa madarakani wakati ule kanu walipinga sana na kusema haiwezekani. Lakini upinzani uliposhinda tuliona elimu kenya ikitolewa bure(sina uhakika mpaka level gani). Kumbuka sisi tuna resource nyingi zaidi ya kenya. Lakini nasikia kikwete anapinga ahadi za dr. Slaa na kueleza watanzania kuwa ahadi hazitekelezeki. Naomba niwambie watanzania wenzangu
kumchagua/kumkubali kikwete kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano kwa mara nyingine ni kukubali yafuatayo:

  • ufisadi uendelee kama kawaida,
  • elimu bure mpaka form six hatuitaki
  • katiba mpya si muhimu kwetu haitusaidii chochote.
  • matumizi ya makubwa ya serikali ni sawa tu yaendelee kama kawaida
mtu mwenye akili timamu si dhani kama atakuwa tayari kuyakubali mambo hayo.



31.10.10 sidanganyiki ng'oooooooooooooooooo! Kama mgaya wa tucta
 
Back
Top Bottom