Kumkopesha baba mwenye nyumba

Unakopesha milion 20 alafu unaishi nyumba ya kupanga??? Tena unakaa hapo hapo na mwenye nyumba??.
kupanga haimaanishi huna nyumba au huwezi kujenga unaweza kuwa umehamisha biashara /kazi sehemu mbali na kwako mfano umejenga morogoro shughuli zako dar itabidi upange tu
 
kupanga haimaanishi huna nyumba au huwezi kujenga unaweza kuwa umehamisha biashara /kazi sehemu mbali na kwako mfano umejenga morogoro shughuli zako dar itabidi upange tu
Inshu sio kupanga, siamin mwenye nyumba anaweza kupanga mahali ambapo mwenye nyumba atamuomba amkopeshe milion 20??? .

Anyway nmekuelewa mkuu
 
Unakopesha milion 20 alafu unaishi nyumba ya kupanga??? Tena unakaa hapo hapo na mwenye nyumba??.
MKUU MI MWENYEWE NIMESHANGAA
Unamkopesha Mil 20, Bado Umepanga!

Akili ni nywele.
Mkuu mwenye nyumba kakuloga huyo. Haiwezekani una uwezo wa kukopesha m20 alafu bado unaishi kwake. Kuna walakini hapo
Na Wahindi wanaoishi National housing wamelogwa na nani? Hizi ni akili za kimaskini, kila mtu ana priorities zake.
 
Watu mnao hukumu.....mnajuaje kama yeye hana nyumba ila tu ameamua tu kupanga.....!!!?

Mtu anaomba ushauri wa jambo lingine anashauriwa jambo lingine
Una nyumba Bunju, mishe zako City center, ukipangisha nyumba yako na wewe kupanga sehemu ambayo ni easy accessible kwenda city center tatizo liko wapi?

Zamani nilikuwa na akili za kijima kama wao nikajenga mjengo sehemu kufika town natumia hadi masaa matatu kwa mkweche wangu, gharama za matumizi ya mafuta au daladala plus bodaboda ziko juu nikaona huu ni upuuzi na nikagunduwa ni kwa nini watu wanaojuwa uchumi vizuri kama Wahindi wanakaa town.

Namshukuru Mungu hesabu zangu zimekubali nina mjengo kilometers 10 tu kwenda City center, sina tena stress za namna ya kufika town na wala sidamki alfajili kama mchawi kisa kuwahi mjini, nimeushinda utumwa huu.
 
Unakopesha milion 20 alafu unaishi nyumba ya kupanga??? Tena unakaa hapo hapo na mwenye nyumba??.

Hawa mkuu labda ndio wale wanapangisha nyumba nzima, au wameajiriwa mjini lakini wamejenga kwao huko mikoani.
 
Yaan unauwezo wa kumuazima mtu 20m afu upo nyumba ya kupanga... Daah we unahitaj maombi kabsaa
 
Andikishaneni kwa mwanasheria ili akizingua kieleweke
 
Hii kitu kisheria hasa hapa kwetu Tz iko hivi..

Hiyo riba unayomtoza ni illegal...wewe binafsi huna vigezo au vibali toka mamlaka husika vya kukuwezesha kumkopesha huyo landlord kwa riba.

Kumbuka kukopesha kwa riba ni mojawapo ya banking activities ambayo inahitaji compliance toka mamlaka zinazoratibu mambo hayo.

Ukimkopesha hiyo TZS 20,000,000 na riba juu hutoweza kudai riba uliyom-charge anywhere kama landlord ata default kulipa. Sana sana utarejeshewa kiasi kile kile...milioni 20 za kitanzania.

Hivyo kama unaamua kumkopesha hiyo ndiyo hali halisi.
 
Yaan unauwezo wa kumuazima mtu 20m afu upo nyumba ya kupanga... Daah we unahitaj maombi kabsaa
Sasa wewe ukiwaona wanaolipa hiyo millioni 20 kama kodi ya miezi 6 kwenye apartment sijui utapatwa na kichaa kabisa?

For ur information hiyo million ni mshahara wa mtu kwa mwezi, endeleeni kukalili tu kwa kudhani binadamu wote ni sawa.
 
Wakati wengine wanakuponda mi naiona fursa hapo,
Mkopeshe na muandikiane kabisa,
Akija tena mpe tu kama unazo ila muandikishane umwambie kabisa familia yako inafahamu kua umempatia hela.

Kuja kushtuka hiyo nyumba unayokaa ishakua yako umeinunua kwa installments. Akijua kua familia yako inafahamu hatoweza/hatowaza kukudhuru ili kuua deni, maana hata watakaobakia wataliendeleza tu
 
Iyo pesa si bora uanze kuuuziana kidogo kudigo
 
Kaka umesema kweli nakubaliana nawe
 
Mkuu vipi mlilipana au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…