Wanabodi Salaam
Huwa najiuliza huu ukamuliwaji kwa wamiliki wa magari umetokana na nini?
Ushuru bandari juu, motor vehicle kila mwaka juu, mafuta juu maana kila mradi unaokwama kupata fedha anaangaliwa mmiliki wa gari achangie kupitia ushuru wa mafuta. Hivi think tank wa vyanzo huona magari tu?
Hapo bado halimashauri nazo zikudake kwenye parking mpaka maeneo ya umma mfano pale cocobeach napo ulipie kisa umeingia na gari. Bado wapiga noti wanaoshinda tenda za ukusanyaji ushuru nao wanakupiga tu, tena ukiwa mmbishi breakdown hiyo inaitwa.
Bado wazee wa "hela ya kiwi" nao wanashindana kila uchao na TRA kumkamua mwenye gari! Hata kwa vijikosa vya kupeana maelekezo. Na sasa hivi ukijikakamua kwamba ujitete unalazwa mahali salama.
Spare nazo juu kisa mamlaka za mapato zinawakamua wafanyabiashara ya vipuri vya magari.
Bado waosha vioo barabarani, list ni ndefu mno but bottom line kunakitu hakiko sawa kwenye hii nchi kuhusu umiliki wa gari\magari.
Huwa najiuliza huu ukamuliwaji kwa wamiliki wa magari umetokana na nini?
Ushuru bandari juu, motor vehicle kila mwaka juu, mafuta juu maana kila mradi unaokwama kupata fedha anaangaliwa mmiliki wa gari achangie kupitia ushuru wa mafuta. Hivi think tank wa vyanzo huona magari tu?
Hapo bado halimashauri nazo zikudake kwenye parking mpaka maeneo ya umma mfano pale cocobeach napo ulipie kisa umeingia na gari. Bado wapiga noti wanaoshinda tenda za ukusanyaji ushuru nao wanakupiga tu, tena ukiwa mmbishi breakdown hiyo inaitwa.
Bado wazee wa "hela ya kiwi" nao wanashindana kila uchao na TRA kumkamua mwenye gari! Hata kwa vijikosa vya kupeana maelekezo. Na sasa hivi ukijikakamua kwamba ujitete unalazwa mahali salama.
Spare nazo juu kisa mamlaka za mapato zinawakamua wafanyabiashara ya vipuri vya magari.
Bado waosha vioo barabarani, list ni ndefu mno but bottom line kunakitu hakiko sawa kwenye hii nchi kuhusu umiliki wa gari\magari.