Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Kwa wale msioifahamu Sikonge ni moja ya wilaya ya mkoa wa Tabora iliyopo barabara ya kuelekea mikoa ya Mbeya na Rukwa,jimbo hili la uchaguzi liko chini ya mbunge wa magamba Said Nkumba na linaongoza kwa umaskini
Leo ni siku ambayo raisi wetu wa rohoni,Dr.wa ukweli,P.Slaa atakuwa hapa na tayari ameshafika na ameelekea kwenye ufunguzi rasmi wa kampeni za kumnadi diwani mtarajiwa wa kata ya Kisanga ambapo mara baada ya kufungua rasmi na kutoa salamu kidogo atarudi hapa Sikonge mjini ambapo kuanzia mchana atafanya mkutano bab kubwa katika viwanja vya TASAF
Rais wetu anaongozwa na mbunge wa Meatu Meshack Opulukwa ambaye yuko hapa tokea juzi na kwa kweli hamasa ni kubwa miongoni mwa vijana kiasi kwamba yale matumaini yaliyopotea siku nyingi yanaonekana kurejea upya
Ndugu zangu ntaendelea kuwajuza kadiri mda utakavyokuwa unawadia..
OBLIGADO..PIPOOOOOZ!
Leo ni siku ambayo raisi wetu wa rohoni,Dr.wa ukweli,P.Slaa atakuwa hapa na tayari ameshafika na ameelekea kwenye ufunguzi rasmi wa kampeni za kumnadi diwani mtarajiwa wa kata ya Kisanga ambapo mara baada ya kufungua rasmi na kutoa salamu kidogo atarudi hapa Sikonge mjini ambapo kuanzia mchana atafanya mkutano bab kubwa katika viwanja vya TASAF
Rais wetu anaongozwa na mbunge wa Meatu Meshack Opulukwa ambaye yuko hapa tokea juzi na kwa kweli hamasa ni kubwa miongoni mwa vijana kiasi kwamba yale matumaini yaliyopotea siku nyingi yanaonekana kurejea upya
Ndugu zangu ntaendelea kuwajuza kadiri mda utakavyokuwa unawadia..
OBLIGADO..PIPOOOOOZ!