Hakika watu wameona tofaut kati ya kauli ya waziri na RPC wa Dodoma kuhusiana na cctv cameras,watu wameona tofaut kati ya balozi wa Tanzania nchini ujerumani na igp siro juu ya uchunguzi kuendelea na mwingine anasema jalada limefungwa.ni kweli kabisa watanzania wataona ukweli wa jambo hili ni upi.uko sahihi mkuuWaziri hajaongeza chochote, ameongea kile anacho kifahamu kama waziri sasa Lema kwakua anashaka na kauli ya Waziri aje aweke hadharani anayo fahamu ii itasaidia wananchi kuufahamu ukweli. Wakati serikali ilikaa kimya kilamtu alizungumza lake sasa serikali imezungumza watu wameona tofauti kubwa ya jambo husika.
Sent using Jamii Forums mobile app