miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
NI RAHISI SANA KUAMINIWA UKIWA MGANGA
Nimekuelewa sana mkuu bonge la ujumbeDhahabu na mawe mengine ya madini yanauzwa pesa nyingi sana na wanaoyapata hutajirika, sivyo?
Basi matapeli hutafuta yaliyo ya bandia ya kufanana, yaani madini feki na huwauzia wasiojua na kuwatapeli pesa nyingi sana sivyo?
Je, watu watupe dhahabu na madini yao ya kweli kwa kuwa kuna yaliyo feki?
Je, ni kosa la madini ama ni kosa lako wewe usiyeyaelewa vizuri mpaka ukauziwa kanyaboya?
Jifunze kuyatofautisha ili usiibiwe lakini kamwe matapeli wa madini hawayafanya yaliyo ya kweli yaache kutafutwa au kuuzwa pesa nyingi!
Na watu hawatasema kwa kuwa almasi feki zimekuwa nyingi basi TUVAE VIDANI VILIVYOTENGENEZWA KWA VIJIWE VIJIWE TU VISIVYO NA THAMANI!
ni tafakuri ndogo tu mkuu,Kile kinachoigwa sana ndio kina thamani ujue, vijiwe utamuibia nani mamilioni!
Uislamu uliosherekea Idd leo au Utakaosherekea Idd Kesho??Dini ya haki na kweli itabaki kuwa ni uislamu tu na huo ndio ukweli mchungu.
Wengine wote ni matapeli na ni uongo mkubwa.
Kwa kutambua uislamu uislamu ni dini ya haki basi watu wa maghribi wamepandikiza chuki ya ugaidi ili dini hii tukufu ichukiwe na ipigwe vita kote duniani ili wafuasi wao wasiijue na kuitambua dini ya haki.
Uislamu hauna ugaidi na dini hii inapiga vita ugaidi na dini hii haikubali mauaji ya aina yoyote.
Endeleeni kupotoshwa na mbaki kutojielewa kwa ubishi msiokuwa na ujuzi nao.
ALLAH AKBAR
Nakumbuka miaka ya nyuma ulimtetea sana huyo mama namba 6.Nasikia kwa mujibu wake Yeye miongoni mwa Wateja wake wakubwa wapo......
Kazi ipo hakyanani.
- Jirani na mataa ya Mwenge
- Anayekuja kasi kwa sasa pale Tegeta
- Mahelikopta Ubungo
- Chapombe Original Ubungo Kibangu
- Jirani na round about ya kuelekea kwa Wasomi UDSM
- Mrembo aliyepo Kituo cha Basi maarufu ya Mbuyuni mkabala na njia panda kama unaenda Kunduchi
- Brotherman mmoja hivi ambaye ili ufike Kwake lazima ushukie pale Skansa kisha uelekee ilipo mitambo ya IPTL
Mmhhhh!!
Kufa kufaanaDini ya haki na kweli itabaki kuwa ni uislamu tu na huo ndio ukweli mchungu.
Wengine wote ni matapeli na ni uongo mkubwa.
Kwa kutambua uislamu uislamu ni dini ya haki basi watu wa maghribi wamepandikiza chuki ya ugaidi ili dini hii tukufu ichukiwe na ipigwe vita kote duniani ili wafuasi wao wasiijue na kuitambua dini ya haki.
Uislamu hauna ugaidi na dini hii inapiga vita ugaidi na dini hii haikubali mauaji ya aina yoyote.
Endeleeni kupotoshwa na mbaki kutojielewa kwa ubishi msiokuwa na ujuzi nao.
ALLAH AKBAR
Picha la ccm aka bashite steering!Huyo mganga anatafuta wateja anajitangaza ili wajinga waende kwake wakidhani awape nguvu kumbe hana lolote.
Ni sawa na yule aliyeenda clouds zama zile kusema ndiye kamfanya diamond awe maarufu asipoomba msamaha atamshusha
Mara nyingi adui akipigwa rohoni anakuja mwili. Kwa wenye akili tunajua vita imekwisha ni kumalizia tu mkia. Kazi ambayo ni rahisi zaidi.Nasikia kwa mujibu wake Yeye miongoni mwa Wateja wake wakubwa wapo......
Kazi ipo hakyanani.
- Jirani na mataa ya Mwenge
- Anayekuja kasi kwa sasa pale Tegeta
- Mahelikopta Ubungo
- Chapombe Original Ubungo Kibangu
- Jirani na round about ya kuelekea kwa Wasomi UDSM
- Mrembo aliyepo Kituo cha Basi maarufu ya Mbuyuni mkabala na njia panda kama unaenda Kunduchi
- Brotherman mmoja hivi ambaye ili ufike Kwake lazima ushukie pale Skansa kisha uelekee ilipo mitambo ya IPTL
Huyo mganga anatafuta kiki tu kwa kuwa hao 'manabii' na 'mitume' nguvu zao wamepatia Nigeria na Afrika Kusini wala sio hapa Tanzania. Huyo mganga ni tapeli tu kama hao 'mitume' na 'manabii'...Inasemekana kwamba huyu ndiyo ' Mganga ' mkubwa na mwenye ' Ndumba / Uchawi ' mkubwa sana ambaye ndiyo amewapa nguvu hizi za ' Miujiza ' ambazo hawa Watu wanaojiita ' Mitume ' na ' Manabii ' ambao ni ' maarufu ' sana hapa nchini Tanzania hasa hapa katika Jiji letu hili la Dar es Salaam.
Hahaaaa haass sasa mbona umeanza kujitetea kuhusu ugaidi bila kuulizwa? Umenifurahisha kweli aiseeeh hapo kuna kituDini ya haki na kweli itabaki kuwa ni uislamu tu na huo ndio ukweli mchungu.
Wengine wote ni matapeli na ni uongo mkubwa.
Kwa kutambua uislamu uislamu ni dini ya haki basi watu wa maghribi wamepandikiza chuki ya ugaidi ili dini hii tukufu ichukiwe na ipigwe vita kote duniani ili wafuasi wao wasiijue na kuitambua dini ya haki.
Uislamu hauna ugaidi na dini hii inapiga vita ugaidi na dini hii haikubali mauaji ya aina yoyote.
Endeleeni kupotoshwa na mbaki kutojielewa kwa ubishi msiokuwa na ujuzi nao.
ALLAH AKBAR
Kumbe mkuu unawajua wote wanaopiga ndumbalizerNasikia kwa mujibu wake Yeye miongoni mwa Wateja wake wakubwa wapo......
Kazi ipo hakyanani.
- Jirani na mataa ya Mwenge
- Anayekuja kasi kwa sasa pale Tegeta
- Mahelikopta Ubungo
- Chapombe Original Ubungo Kibangu
- Jirani na round about ya kuelekea kwa Wasomi UDSM
- Mrembo aliyepo Kituo cha Basi maarufu ya Mbuyuni mkabala na njia panda kama unaenda Kunduchi
- Brotherman mmoja hivi ambaye ili ufike Kwake lazima ushukie pale Skansa kisha uelekee ilipo mitambo ya IPTL
So kwakuwa kuna manabii wa uongo then ukristo sio dini ya haki na YESU hayupo???Dini ya haki na kweli itabaki kuwa ni uislamu tu na huo ndio ukweli mchungu.
Wengine wote ni matapeli na ni uongo mkubwa.
Kwa kutambua uislamu uislamu ni dini ya haki basi watu wa maghribi wamepandikiza chuki ya ugaidi ili dini hii tukufu ichukiwe na ipigwe vita kote duniani ili wafuasi wao wasiijue na kuitambua dini ya haki.
Uislamu hauna ugaidi na dini hii inapiga vita ugaidi na dini hii haikubali mauaji ya aina yoyote.
Endeleeni kupotoshwa na mbaki kutojielewa kwa ubishi msiokuwa na ujuzi nao.
ALLAH AKBAR
Hasa aliwapa dawa na ndumba za nini kama hataki waloge na kuhuburi....Huyo mganga anatafuta wateja anajitangaza ili wajinga waende kwake wakidhani awape nguvu kumbe hana lolote.
Ni sawa na yule aliyeenda clouds zama zile kusema ndiye kamfanya diamond awe maarufu asipoomba msamaha atamshusha