Kumekucha: Matingatinga ya UKAWA yaanza kupasha

Kumekucha: Matingatinga ya UKAWA yaanza kupasha

Earthmover

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
25,975
Reaction score
25,288
Amani iwe kwenu

Ni heavy duty mashine

T SLAA UKW


Dr-Wilbroad-Slaa.jpg


T WABUNGE UKW
T MADIWANI UKW
T MKMITAA UKW
T MKVITONGOJI UKW

Mgawanyo wa Oparation:

from Namanga to Tunduma via Izazi ----oparations safisha
from Kiaka to Holili via Singida ----operation safisha
from Kitunguli to Chuyuni via Morogoro----- operation safisha
from Isopa/ Kasanga to Ololosokwani via Itigi ----operation safisha
from Isibania to Kalinzi via Usoke...... operation safisha
from Dar to Mwanza via Kintiku--- operation safisha
from Tanga to Nyalikungu via Dareda ....Operation safisha

Matingatinga hayo yatafanya kazi 24hours kuzimwa mpaka Oktoba baada ya kazi Kukamilika


....ni kijiji kwa kijiji ,Mtaa kwa Mtaa, Nyumba hadi nyumba, Kata kwa Kata, Wilaya kwa Wilaya, Mkoa kwa Mkoa

...stay tuned
 
....

....wito kwa wananchi wakombozi watapita huko mwenye makande, ngubalu,maharage changia kwa moyo wako Mungu anakwenda kusema NENO oktoba
 
...

...Babeli imesha anguka matingatinga ya Ukawa yatapita huko kusawazisha vifusi
 
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Ukawa.
 
Amani iwe kwenu

Ni heavy duty mashine

T RAIS UKW
T WABUNGE UKW
T MADIWANI UKW
T MKMITAA UKW
T MKVITONGOJI UKW

Mgawanyo wa Oparation:

from Namanga to Tunduma via Izazi ----oparations safisha
from Kiaka to Holili via Singida ----operation safisha
from Kitunguli to Chuyuni via Morogoro----- operation safisha
from Isopa/ Kasanga to Ololosokwani via Itigi ----operation safisha
from Isibania to Kalinzi via Usoke...... operation safisha
from Dar to Mwanza via Kintiku--- operation safisha
from Tanga to Nyalikungu via Dareda ....Operation safisha

Matingatinga hayo yatafanya kazi 24hours kuzimwa mpaka Oktoba baada ya kazi Kukamilika


....ni kijiji kwa kijiji ,Mtaa kwa Mtaa, Nyumba hadi nyumba, Kata kwa Kata, Wilaya kwa Wilaya, Mkoa kwa Mkoa

...stay tuned


mkuu nasubiri moshi mweupe kama uchaguzi wa papa.ni kazi kwa kwenda mbele
 
....

....wito kwa wananchi wakombozi watapita huko mwenye makande, ngubalu,maharage changia kwa moyo wako Mungu anakwenda kusema NENO oktoba

Ukawa watukumbushe zile namba za M-PESA,Tigopesa na Airtel money tutume jerojero za kampeni na kulipa mawakala.
 
Back
Top Bottom