Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
- Thread starter
- #41
Wakuu jipangeni kwasasababu mategemeo yao ni goli la mkono.
...patachimbika
Wakuu jipangeni kwasasababu mategemeo yao ni goli la mkono.
...ng'ato gi ng'ato !!!
Wakuu jipangeni kwasasababu mategemeo yao ni goli la mkono.
Hatuwezi kushinda
Hakuna Tume Huru ya Uchaguzi
Umenena mkuu, yan hapa wapiganie tume huru bila hvyo gol la maradona litahucka sana tu!!
Mi cjui walilishwa limbwata wakasau au vp...ni sawa na kutangulia stand bila naul dah
Ni kweli hii au porojo?Siamini.Kwani viongozi wa ukawa (summit)wameshamaliza kikao chao?Amani iwe kwenu
Ni heavy duty mashine
T RAIS UKW
T WABUNGE UKW
T MADIWANI UKW
T MKMITAA UKW
T MKVITONGOJI UKW
Mgawanyo wa Oparation:
from Namanga to Tunduma via Izazi ----oparations safisha
from Kiaka to Holili via Singida ----operation safisha
from Kitunguli to Chuyuni via Morogoro----- operation safisha
from Isopa/ Kasanga to Ololosokwani via Itigi ----operation safisha
from Isibania to Kalinzi via Usoke...... operation safisha
from Dar to Mwanza via Kintiku--- operation safisha
from Tanga to Nyalikungu via Dareda ....Operation safisha
Matingatinga hayo yatafanya kazi 24hours kuzimwa mpaka Oktoba baada ya kazi Kukamilika
....ni kijiji kwa kijiji ,Mtaa kwa Mtaa, Nyumba hadi nyumba, Kata kwa Kata, Wilaya kwa Wilaya, Mkoa kwa Mkoa
...stay tuned
Ni kweli hii au porojo?Siamini.Kwani viongozi wa ukawa (summit)wameshamaliza kikao chao?
...o-mutu-u nao o-mutu-u aka man to man...
Mtaa kwa Mtaa
Nyumba kwa Nyumba
Chumba kwa Chumba
Kitanda kwa Kitanda
Shuka kwa Shuka
HADI SHETANI CCM ATOKEEEEEE!
Endapo watashinda kwa mafuriko. mkono hauwezi kuzuia.mfano ushindi wa 80% wataiiba weee watapunguza mpaka70% zaidi ya hapo nakataa.Hatuwezi kushinda
Hakuna Tume Huru ya Uchaguzi
Endapo watashinda kwa mafuriko. mkono hauwezi kuzuia.mfano ushindi wa 80% wataiiba weee watapunguza mpaka70% zaidi ya hapo nakataa.
...o-mutu-u nao o-mutu-u aka man to man...
Mtaa kwa Mtaa
Nyumba kwa Nyumba
Chumba kwa Chumba
Kitanda kwa Kitanda
Shuka kwa Shuka
HADI SHETANI CCM ATOKEEEEEE!
Hawako serious
Na watatuletea Porojo za kuibiwa kura...wakati hawakuonesha juhudi kuitaka Tume Huru
....Eee Mkuu hii sasa balaa mwe.