Papupi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,029
- 3,245
Ni Alhamis nyingine kwa majira ya Afrika Mashariki, ni siku mpya nyingine iliyoanza kwa mawingu na kimvua kwa mbali kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam
Basi hatuna budi kumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama na kutuwezesha kupigania pumzi nyingine
Vivyo hivyo aende kutubariki katika siku ya leo na akabariki kila kazi ya mikono ya mmoja wetu.
Naomba niwatakie kazi njema katika kulijenga Taifa letu, mie narudi kulala nikiamka nitalipaka rangi
Basi hatuna budi kumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama na kutuwezesha kupigania pumzi nyingine
Vivyo hivyo aende kutubariki katika siku ya leo na akabariki kila kazi ya mikono ya mmoja wetu.
Naomba niwatakie kazi njema katika kulijenga Taifa letu, mie narudi kulala nikiamka nitalipaka rangi
