J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,195
Mkuu limepanga magomeni ila linadanga maeneo cheap ka hayo malapa ,uwanja wa fisiHilo Malaya Ni la buguruni nini?? Kuna Malaya lipo buguruni Lina sifa zote ulizozitaja hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetulia zako ndani ukijua una mume kumbe una furushi. Haya mafurushi sijui ile laana ya Eden inajijumlishaAnamuita mwenzie muislamu jina wakati hata yeye mkristo jina. Hayo ya kujichubua hadi kucha hakuyaona anapoenda kumla sasa hivi ndio anayaona? Hivi wanaume mnapata wapi ujasiri wa kwenda kulala na mwanamke ambaye unakiri hata wewe kuwa ni malaya halafu unalala nae bila kinga? Mtatumaliza na maradhi nyie watu khaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tuliza kichwa kisha kasome vizuri kilichoandikwa.HII NI CHAI NYEPESI YA KWENDA KULALA USIKU KABISA.
MARA ANA MKE NA WATOTO WA3, OOOH...! ATALEAJE HUYO MTOTO WA TANO NAKATI TAYARI ANA WATOTO WA4?
DUUUH!...? CHA KUSHANGAZA BADO TU WAJINGA WATAPATIKANA HAPA KUCHANGIA HUU UPUUZI
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamuita mwenzie muislamu jina wakati hata yeye mkristo jina. Hayo ya kujichubua hadi kucha hakuyaona anapoenda kumla sasa hivi ndio anayaona? Hivi wanaume mnapata wapi ujasiri wa kwenda kulala na mwanamke ambaye unakiri hata wewe kuwa ni malaya halafu unalala nae bila kinga? Mtatumaliza na maradhi nyie watu khaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwanamke siyo malaya laiti kama angejua huyo n Malaya angetumia condom akubaliane tu na hali alee mtoto ajae. Njia ya kutoa mimba siyo sahihiJamaa anakatabia kakula Malaya lakini anakafamilia ka,uri mke na watoto 3 mkewe mchamungu balaa ,ila jamaa ndo kapinda .
Sasa juzi kati Malaya moja nguli tena limama limemwambia linamimba yake jamaa akalitumia laki litoe limemrudishia na hell ya kutolea eti jiandae kuwa baba.Jamaa ni mkristo hili shangingi lililojichibua Hadi kucha ni muislamu jina ,jamaa anawaza hayo malezi ya magomeni na maadili ya siyo ya kikristo imekaaje ,istoshe Lina watoto wanna huyu watano jamaa anasema ntawatengaje .
mkuu ujue sometimes ile kuvuliwa nguo na mrembo unaona ukivaa mpira hutapata uroda vizuriAnamuita mwenzie muislamu jina wakati hata yeye mkristo jina. Hayo ya kujichubua hadi kucha hakuyaona anapoenda kumla sasa hivi ndio anayaona? Hivi wanaume mnapata wapi ujasiri wa kwenda kulala na mwanamke ambaye unakiri hata wewe kuwa ni malaya halafu unalala nae bila kinga? Mtatumaliza na maradhi nyie watu khaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo DNA zenu muangalie mnazidoshea wapi.Hakuna moment ya kingese kama ile moment umemtia mimba mwanamke ambaye huna vibe nae kihisia halafu anadai hatoi mimba. Ile hali inakera kupita maelezo!
Asee nilijifunza toka na hapo, kama sina business zaidi na wewe ujue zitarukia juu ya tumbo mpaka kifuani!Hizo DNA zenu muangalie mnazidoshea wapi.