muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,099
- 1,055
asalaleeee tulichukua bandke kule Dent sasa tunapokea sms za makato kutoka M....pesa
tazama mwenyewe hapa chini
tazama mwenyewe hapa chini
asalaleeee tulichukua bandke kule Dent sasa tunapokea sms za makato kutoka M....pesa
tazama mwenyewe hapa chiniView attachment 1142305
Sio kweli...ni uzushi mimi mbona nina salio m pesa na hawajakata
Lete mwambaNawaletea link ya 8000 hakuna makato yeyote hizi pesa ni bit coins mswe nashaka.
Watakua wauza vochaWazushi hao wanaona wivu si kupata ka vocha mi na million tgo na voda mbn hawajakata
asalaleeee tulichukua bandke kule Dent sasa tunapokea sms za makato kutoka M....pesa
tazama mwenyewe hapa chiniView attachment 1142305
WtF........
Hahah kuna mwana alinipa link nikadownload kale ka app nikasema ngoja bundle la voda nililojiunga liishe ndo nimwemwereke na hii offer kumbe msiba wa kichina.
Asante JF sio muda mrefu nilikuwa nijinunulishe hii offer ila sasa app yenyewe naifutilia mbali
Dent dent ni kitu gani? kuuliza si ujinga.