elishababuh
Member
- Oct 6, 2014
- 30
- 0
Wadau wa JF naomba maoni kwa hili, umemtongoza demu akakubali poa lakini ulikuwa unataka kupita naye tu akakuuliza jina ukamdanganya kwenu pia ukamdanganya halafu mwisho wa siku upo home umekaa unasikia geti linagongwa mama yako anaenda kufungua anakutana na mwanamke anamuulizia mtu kwa jina lile ulilo mdanganya sauti unaijua mama anasema hamjui lakini anatoa mwonekano wako wote na mama yako anasema mbona huyo ni fulani na sio jina hilo unalosema anakuita kwa jina lako kamili wewe ungemfanyaje?