Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!


Hapo nakuelewa ila ajitahidi kutokuwashambulia wapambanaji wenzake wakati anajua fika kuwa hukoccm atatolewa kafara soon.
 
Nimesoma mwanzo mpaka mwisho; hoja iliyotawala ni dini ya Mzee Nnauye na kama Nape ni mtoto wa Mzee Nnauye au hapana!!!!! Nini umuhimu wa yote hayo?! Kama Mzee Nnauye ni Mwislamu, Mkristo au Mpagani, nini umuhimu wa lolote katika hayo?! Likewise, kama Nape ni mtoto wa Mzee Nnauye au hapana, shida ipo wapi?! Kuna mdau mmoja, kasema kwamba kutokuwepo jina la Nape kwenye orodha iliyotolewa itawasaidia watu kumchafua kisiasa...ni mwana siasa gani mwenye kutumia hoja dhaifu kiasi hicho?! na kama atakuwepo hapo atathibitisha wazi kwamba hoja za msingi hanazo bali anajiegemeza kwenye hoja chakavu!! Kwani hata kama Nape ni mtoto wa nje ya ndoa, tatizo kwake yeye ni nini?! Wa kulaumiwa si wazazi wake?! Kwani alijizaa mwenyewe?! Mtu yeyote atakayemkashifu Nape kwa kuzaliwa nje ya ndoa (kama ndivyo) anatakiwa kujiuliza yeye mwenyewe alifanya jitihada gani ata akazaliwa ndani ya ndoa!!! Ajiulize, kuna chochote alifanya hata akazaliwa ndai ya ndoa au automatically tu alijikuta amezaliwa ndani ya ndoa?! Kumkashifu mtu aliyezaliwa nje ya ndoa, kinyume chake ni kwamba unajiona fahari kuzaliwa ndani ya ndoa! Ni upuuzi uliopita kipimo kujifaharisha kwa ki2 ambacho huku-contribute hata punje moja ya mchanga!
 
Answer:
Mbona kama umeongea kinyume mkuu,hao wanaoitwa mafisadi si maadui zake huyu au mafisadi gani pengine unaowazungumzia???labda na wewe un a tafsiri yako kuhusu ufisadi na mafisadi!

Anamwongelea mwenye Richmond yaani yule aliyetajwa wiki iliyopita na waziri mkuu mstaafu
 
Pia haiko wazi ni mtoto yupi, Nnauye ameach LUNDO la watoto!

Nnauye ...alikuwa na watoto karibu 20..,nalifahamu hili kwa kuwa msiba wake nilishiriki vilivyo kwenye maandalizi..Yake pale nyumbani kwa mzee makamba ....
Mwanaisha hakuwa mwanamke pekee wa mzee Nnaauye....ambaye alikuwa charismatic na ladies choice.....sijui ni waziri gani wa enzi za mwalimu ,mwanamke...wasichana makada wa enzi hizo ambao walikuwa "hawamhui" brig gen.Nnauye ....alikuwa simply wa wote.....hata wenzake enzi za walimu walikuwa wakimtania waziri wa wanawake.....and would make Nyerere lough....that something they have in common with KIkwete ....ila tofauti ni kuwa KIkwete amejitahidi kuishika familia Yake pamoja .....na ameweza kuwaorodhesha wengi wa watoto wake chini ya mama mmoja .....amedeclare Ana mke mmoja na watoto zaidi ya nane ....that was good.....
Na Ana uwezo wa kuendelea kuwaandikisha chini ya mama mmoja .....hii itasaidia familia Yake miaka ijayo kuondokana na aibu ya watoto wa mke wake kutaka kujiona bora ....kuliko watoto wingine....

May be we can share na members wanawake ...kwanini hawapendi watoto wa wenzao?.....kwetu sisi wanaume watoto wote ni halal.....hakuna haramu...kwani hujui atakaye kusitiri ni yupi...
 
MOSSES kwa kiswahili ni MUSSA, ninaye rafiki ambaye mwanaye amebatizwa kwa jina la Mussa (ni mkatoliki)
Mussa inatumika pande zote na ni aghalabu kumkuta mkristo akiitwa mussa lakini ni kioja kumkuta muislam akiitwa moses!muislam ni mussa tu!
 

"-NAPE SIO MTOTO WA MOSES KWA SABABU UKICHUNGUZA TANGAZO LA NDANI LENYE PICHA YA COMRADE MZEE MOSES WATOTO WALIOTAJWA PALE NAPE HAYUPO"

Du kwa hiyo kwa kuwa hajatajwa kwenye tangazo basi ndio determinant yako kwamba jamaa sio mtoto wa mzee nnauye sio!kweli unahitaji kukazwa kitako hasa kuelemishwa...



 
Mussa anaweza kuwa mkristo vilevile; unless una uhakika na unachokisema, otherwise, kwa hilo jina bado hakuna concrete evidence kwamba huyo brigedia alikua muislam!!

Na ile INNALILLAAHI WAINNA ILLAIHI RAJUUN ambayo imeandikwa kwenye tangazo la wanafamilia wa nyumba kubwa nayo haikushawishi pia?
 
Sasa kuitwa Mussa ndio kusema kina mussa wote ni waislam... WadaNGANYIKA tabu sana. Kwa kifupi ukiwa kanisani ibada ya kiswahili atasemwa Mussa na ibada ya Kiingereza atasemwa Moses.... Nadhani umeelewa vizuri.

Nimeelewa vizuri sana...ila sijaelewa kama na msikitini nako mussa anaweza kuitwa moses!
 
Na ile INNALILLAAHI WAINNA ILLAIHI RAJUUN ambayo imeandikwa kwenye tangazo la wanafamilia wa nyumba kubwa nayo haikushawishi pia?

Huo uswahili wa watoto wa the so called nyumba kubwa ...unaendeleza bifu Hadi kwa marehemu....?....Hadi kuwatenga nyie wengine
 

KWELI NI MFANO TOSHA KWA HAO "WANAODHANI",Lakini mi si katika hao,mzee mnauye alizikwa kwa taratibu za kiislam pale kisutu chini ya usimamizi wa ndugu yaka yusuf makamba,bado sio kigezo???wabongo tunapenda sana ligi za ubishi wa kitoto!
 
matangazo kama haya wayapeleke bango mda ni mdogo sana kudiscuss marehemu hapa.
Tunashukuru sana kwa mchango wako katika mjadala huu japo umedai nafasi ni ndogo lakini tumegundua unayo!asante sana kwa kutumia muda wako wa thamani kujadili.
 

we unazungumza mabo ya jana na leo?!!!hali haikua hivyo huko nyuma,muulize babu yako kama unae yupo hai,kighoma malima aliacha kutumia jina la Ally ili asome....
 

Angefanya unavyotaka angekuwa maarufu kama mrema sio?

 
Answer:
Mbona kama umeongea kinyume mkuu,hao wanaoitwa mafisadi si maadui zake huyu au mafisadi gani pengine unaowazungumzia???labda na wewe un a tafsiri yako kuhusu ufisadi na mafisadi!
CCM YA SASA NDO BABA WA HUO UFISADI.Wanachogombana kwa sasa ni nani ale zaidi.
 

Waislam kwenye mazishi yao huwa wakimaliza kufukia kaburi wanamwagia maji mzee,sasa hayo maji inawezekana yalibaki kwa mzee penza ndio nape akaomba birika nayeye akamwagie kwenye kaburi la babake mzazi.
 

Tuwe wakweli. kijana ni jasiri na anafaa kuwa kiongozi. hana dhambi ndiyo maana anasimama kweupee kusema anachoamini. big up nape.
 
Anamwongelea mwenye Richmond yaani yule aliyetajwa wiki iliyopita na waziri mkuu mstaafu

Hapana umejichanganya mzee,sio waziri mkuu mstaafu ni waziri mkuu aliyejiuzulu kutokana na Kashfa ya RICHMOND!Full stop.
 
Tuwe wakweli. kijana ni jasiri na anafaa kuwa kiongozi. hana dhambi ndiyo maana anasimama kweupee kusema anachoamini. big up nape.

Naona watu mmekazana Nape ni mtoto wa nje...sasa tatizo liko wapi hapo??Ana tofauti gani na Riz1??au mamilioni wengi tu kwenye familia zenu/zetu waliozaliwa nje???Suala la mtoto wa nje au wa mama mdogo ni irrelevant katika mustakabala wa maendeleo ya nchi...shame on you "great thinkers" kujadili very shallow issue...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…