KUMBUKIZI | Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi: Nampenda anayenikosoa zaidi. Wanaosifia wanamaslahi binafsi

KUMBUKIZI | Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi: Nampenda anayenikosoa zaidi. Wanaosifia wanamaslahi binafsi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, nampenda anayenikosoa zaidi. Wanaosifia wanamaslahi binafsi.

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, aliwahi kusema kwamba anampenda zaidi mtu anayemkosoa kuliko anayemsifia.

Ameeleza kuwa sifa hupunguza nafasi ya kujua kama unakosea, na mara nyingine mtu anaweza kukusifia kwa sababu anataka kitu kutoka kwako.

Chanzo Taarifa: JamiiForums Facebook

Wanaonijua vyema wanatambua kuwa hata Mimi GENTAMYCINE ukitaka Nikuchukie basi Wewe kuwa unanisifia tu 24/7.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, aliwahi kusema kwamba anampenda zaidi mtu anayemkosoa kuliko anayemsifia.

Ameeleza kuwa sifa hupunguza nafasi ya kujua kama unakosea, na mara nyingine mtu anaweza kukusifia kwa sababu anataka kitu kutoka kwako.

Chanzo Taarifa: JamiiForums Facebook

Wanaonijua vyema wanatambua kuwa hata Mimi GENTAMYCINE ukitaka Nikuchukie basi Wewe kuwa unanisifia tu 24/7.
Wanaosifiwa hivi ni kweli huwa hawajui yote hayo au huwa wanajichomoa betri?
 
Back
Top Bottom