Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Wakuu!
Katika moja ya matamko yake, Wakili Boniface Mwabukusi alizungumza kwa hisia kali kuhusu namna wapinzani wanavyotazamwa ndani ya mfumo wa haki, akisema:
"Ukiwa mpinzani ni adui wa kila sehemu. Hata mahakamani, nimemsikia Jaji mmoja anasema, ‘Mimi siwapendi hawa watu wasumbufu.’ Sasa wewe kazi yako ni kupokea kesi mahakamani — kama unafikiri mimi ni msumbufu, si ondoka mahakamani!"
Katika moja ya matamko yake, Wakili Boniface Mwabukusi alizungumza kwa hisia kali kuhusu namna wapinzani wanavyotazamwa ndani ya mfumo wa haki, akisema:
"Ukiwa mpinzani ni adui wa kila sehemu. Hata mahakamani, nimemsikia Jaji mmoja anasema, ‘Mimi siwapendi hawa watu wasumbufu.’ Sasa wewe kazi yako ni kupokea kesi mahakamani — kama unafikiri mimi ni msumbufu, si ondoka mahakamani!"