Kumbikumbi

Kumbikumbi

BABA E's

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
354
Reaction score
136
Hivi kwa Kiingereza wanaitwaje?

Huwa wanatoka wapi wakati wa mvua, maana nashangaa huwa wanajaa gafla, nilishasikia kwamba wanatokea ardhini lakini pamoja na kuchunguza sana sijawahi kushuhudia.
 
Image.jpg
Flying termites
are just common termites that are in their winged life stage. This phase is part of their reproduction cycle. While they are breeding adults at this stage and don’t cause significant damage themselves, they create thousands of termite wood-chewing offspring. Flying termites seek new locations for their colonies. It you find flying termites around your home or indoors, it may be an indication that there is termite infestation in a part of your home. There are ways you can identify, kill and prevent flying termites in and around your home.

Identifying Flying Termites

When it comes to identifying flying termites, you need to be able to distinguish a flying termite from a flying ant, as the two are often mistaken for one another. Both of these insects look similar but flying ants have three-segment bodies, while termites have two-segment bodies. Flying termites have two long same-sized sets of wings, and ants have a small and big set of wings.

Finding Flying Termites

If you find flying termites indoors, then it could be a sign of infestation, as they could have built nearby colonies. Look for mud tubes or tracks where the termites burrow into the ground. These are usually found in dark, moist areas that have access to wood, and you can look in places like the basement, cracks in the foundation or the underneath siding. Flying termites can occasionally be seen entering and leaving these mud tubes. Sometimes you will find wings instead of the insect’s body. This is because flying termites drop their wings after mating, and the females then go to burrow in mud to lay eggs. You can look for shed wings on window sills and along baseboards.
 
Huwa napenda kuwala wabichi!wana mafuta sana,ninachojua huwa wanatoka kwenye vichuguu vya mchwa
 
Siku ukifika home nakukaribisha nao kwanza kama kifungua kinywa kabla sijakuletea kisosi cha kahawa za kutafuna alafu ukija kuondoka nakufungia senene wa kulia njiani... karibu bwikizo center!
 
Rweye nyegeza naija kulya obuswa.
 
Last edited by a moderator:
Siku ukifika home nakukaribisha nao kwanza kama kifungua kinywa kabla sijakuletea kisosi cha kahawa za kutafuna alafu ukija kuondoka nakufungia senene wa kulia njiani... karibu bwikizo center!

Na akafanta ko olubisi
 
Hivi kwa Kiingereza wanaitwaje?

Huwa wanatoka wapi wakati wa mvua, maana nashangaa huwa wanajaa gafla, nilishasikia kwamba wanatokea ardhini lakini pamoja na kuchunguza sana sijawahi kushuhudia.

unachunguza mjini? Njoo huku mashambani uchunguze ndio utajua vizuri wanakotokea.
 
Jamani.hawa jamaa watamu

Ili kuwapika mabawa yake unatoaje??

Maana nmekata weng balaa hapa kagera

Msaada wa kuwatoa mabawa kwa.haraka please??
 
Dah wazuri sana hawa hasa ukiwala wabichi wana protein zinazofaa kwa yale mambo yetuu
Wanatokea kwenye vichuguu vya mchwa
 
Jamani.hawa jamaa watamu

Ili kuwapika mabawa yake unatoaje??

Maana nmekata weng balaa hapa kagera

Msaada wa kuwatoa mabawa kwa.haraka please??
Waweke kwenye Frying pan fungulia moto kwa mbaali mbona mabawa yatatoka yenyewe
 
Back
Top Bottom