Kumbi za cinema na music concerts ni chache au hakuna promo?

Kumbi za cinema na music concerts ni chache au hakuna promo?

OgaBoy

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
3,173
Reaction score
4,488
Ukitoa Dar ni majiji gani mengine yana kumbi za cinema atleast Kila weekend WATU wanaweza jipoza.

Aya Kwa music wapi UNAWEZA sikia Kuna burudani ukiacha bar za mbagala kule atleast kama ni music ya injili au ya Dunia in a weekend tunaweza PATA burudani?

Kama zipo Dar, vipi majiji mengine UNAWEZA mention

Kama hakuna MANAKE je hazina faida? Ni GHALI kuziendesha.

Inatakiwa kuwepo burudani Kila weekend sio Kwa msimu sikuinchristmass, pasaka ,eid SIJUI mwakampya YAANI IFIKE KIPINDI ukitaka kumsikia maandishi fula iwe ni issue ya ratiba sio eti anatoa albam NDO anatulea kiwingu.
 
Inasikitisha Sana.

1772018701515.png
 
Bongo ni makelele ya bodaboda na wamachinga, maisha magumu watu hawajui kesho wewe unaulizia cinema? Mimi nashangaa hata hayo mashindano makubwa ya football Africa sijui nani atakwenda uwanjani!
 
Back
Top Bottom