kumbemenda mtoto ni chama gani cha siasa?
acha kuandika ki facebook bana aaaaah !!inatokea pale ambapo mama anacheza nechi na baba asie baba halisi wa mtt so kama mkeo ana mtt na sio wa kwako pengine alipewa mimba na mtu mwingine basi vile vile waweza kumbemenda mtt pia maaana sio damu yako.
mbona una hamu ya kujua hivyo !? Unahisi ulibemendwa nini !?Nasikia wanasema mtoto kabemendwa,ni kupi?je ukifanya mapenzi na mkeo ukiwa mtoto mdogo ndo anabemendeka?