Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano kwa hiyo ni sawa. Hivi SSH asingejali kwao hata mimi ningemshangaa. Lakini pia kwa mtu makini, Ndugai hajafurushwa kwa kuhoji mkopo pekee. No. Ni accumulation ya mambo mengi aliyoyafanya chini kwa chini na wazi wazi kuutweza uanamke wa Rais wa Tanzania na urais tangu JPM afariki. Amejitahidi kuonyesha dunia kwamba Rais SSH si lolote si chochte. Amelelewa na mwisho akaingia 18 za mama. Na mama & co wamempokea mithili ya mwizi aliyeruka ukuta akakutana na German shepherd. Upande mwingine, hakuna mwenye huruma ya dhati kwa Ndugai kwa sababu ameonekana ni mtu mwonevu, mnafiki, muuaji, mdhalilishaji, mwongo, mungu mtu, mwenye majivuno, mbadhirifu wa pesa za umma na madaraka. Wanaomtetea wana base kwenye hoja za kisheria, kiutaratibu na kujionyesha kwamba wapo na wanaweza kutetea. Salmin Amour alishawahi kusema chezea ndevu usichezee dola- na baadae yeye mwenyewe alichezea dola na kilichompata hatasau maisha yake. Nenda salama Ndugai na wengine mjifunze. Rais wa nchi hachezewi. Labda mbadili hiyo Katiba yenu mbovu!
Vipi unaonaje hili baraza jipya,
linakupa matumaini gani kwa mustabali wa Taifa?
Mfumo gani umeshawahi kukuona kama Huu. Nipe mfano hata mmoja?
In UK, Nothern Ireland Wales ni Size ya Zazinbar. Mtu kutoka England Anaruhusiwa kuishi, kuongoza, ana haki zote.
Dola zote duniani, kama maisha ya binadamu huwa kipindi chake maalumu. Zinapita na zitapita. No exception.
Dola huwa zinaisha ghafla, Roman, British, French, Japanese, Mali, Greater Zimbambwe, Kemet, Spanish Empires ni mifano michache.
Kuanguka kunatokana na kulewa madaraka, kodi kubwa zinazoumiza, kugawanya watu (udini, ukabila ukanda), mfumuko wa bei,chakula, kila kitu, rushwa, ufisadi, maadili, uaminifu na uadalifu, kutowajibika.
Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano kwa hiyo ni sawa. Hivi SSH asingejali kwao hata mimi ningemshangaa. Lakini pia kwa mtu makini, Ndugai hajafurushwa kwa kuhoji mkopo pekee. No. Ni accumulation ya mambo mengi aliyoyafanya chini kwa chini na wazi wazi kuutweza uanamke wa Rais wa Tanzania na urais tangu JPM afariki. Amejitahidi kuonyesha dunia kwamba Rais SSH si lolote si chochte. Amelelewa na mwisho akaingia 18 za mama. Na mama & co wamempokea mithili ya mwizi aliyeruka ukuta akakutana na German shepherd. Upande mwingine, hakuna mwenye huruma ya dhati kwa Ndugai kwa sababu ameonekana ni mtu mwonevu, mnafiki, muuaji, mdhalilishaji, mwongo, mungu mtu, mwenye majivuno, mbadhirifu wa pesa za umma na madaraka. Wanaomtetea wana base kwenye hoja za kisheria, kiutaratibu na kujionyesha kwamba wapo na wanaweza kutetea. Salmin Amour alishawahi kusema chezea ndevu usichezee dola- na baadae yeye mwenyewe alichezea dola na kilichompata hatasau maisha yake. Nenda salama Ndugai na wengine mjifunze. Rais wa nchi hachezewi. Labda mbadili hiyo Katiba yenu mbovu!