Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Duh..........umenigusa mno

wiki iliyopita kuna siku kama nne mfululizo nilikuwa so down
na nilikuwa sitaki hata kupokea simu ya mtu for no good reason..

Yaani nilikuwa sina interest na chochote
ni kula kulala,tv na internet

hata kuzungumza niliona uvivu

kwa kuwa nilikuwa nina matibabu ya malaria nili connect na tiba hiyo
but nilikuwa najiuliza mbona huwa hainitokei hivyo mara zote ninapougua malaria???

Could it be..............?????????????????
Hahahaaa! mkuu ulikua hedhi!!!!? huu ni udhalilishaji, kwani hedhi ni mabadiliko ya hali/hisia au tabia? mimi sinaga hizo hedhi hata nianze kuandika kwenye diary kwa faida gani?
 
Mara nyingi nimekua nikiamini kwamba yale tunayoyafahamu kuhusu maisha ni machache sana ukilinganisha na yale tusioyafahamu.

Kiasi cha miezi kadhaa iliyopita nilisoma utafiti fulani kuhusu hedhi. Awali nilipousoma niliona ni hadithi tupu. Lakini nilipoona ni vyema kuujaribu kwa kutenda miezi minne baadae nilishangaa. Hata wewe najua utashangaa utakaposoma makala haya. Lakini ombi langu kwako ni kukutaka ujaribu kufanya mazoezi ili uthibitishe ukweli huo.

Miaka ya hivi karibuni imegundulika kwamba hata wanaume hupata hedhi-ingawa wanaume hawana alama za nje za kuwaonesha kwamba wako kwenye hedhi, kama walivyo wanawake ambao hutoka damu siku zao za hedhi zinapofika na kukamilika.

Kwa karne na karne hakuna mtu aliyekuwa akifikiria kwamba wanaume wangeweza kuwa wanapata nao hedhi kama wanawake. Kama mwanaume akiamua kuweka kumbukumbu zake kwenye dayari na kujiangalia kila siku hali yake inavyobadilikana kuwa ya kusikitika, ya kawaida, furaha na hasira……akiifuatilia hali yake namna hiyo kwa siku zote 28 za mwezi, halafu na mwezi unaofuata, akafanya hivyo hivyo, halafu mwezi wa tatu nao akatenda hivyo, na halafu ailinganishe miezi hiyo mitatu atashangaa.

Kuna siku tatu, nne au tano ambazo zitafanana katika dayari zote tatu, lini ana hasira ana masikitiko, ni mharibifu, na tabia nyingine kama hizo. Hivyo ndivyo vipindi vya hedhi kwa wanaume kama ilivyo kwa wanawake. Zoezi hili anaweza kufanya mwanaume yeyote, akishindwa kupata matokeo anaweza kuwasiliana na mimi na kuuliza ni kwa nini nimeandika uongo.

Ni jambo ambalo lipo na limeshafanyiwa tafiti mbalimbali, hata mimi binafsi nimefanya zoezi hilo kwa miezi minne na limetoa majibu kama hayo. Kwa kawaida mwanaume hana dalili za kimwili za kutoka damu kama mwanamke – ndio maana, karne na karne hakuna mtu aliyejali – lakini ni jambo la uhakika kwamba wanaume wanapata hedhi.

Dalili za mwanaume aliye kwenye hedhi ziko akilini zaidi na sababu ziko wazi: mwanamke asili yake ni kimwili zaidi, kihisia zaidi, na mwanaume ana asili ya ubongo zaidi. Lakini mwanaume anapata usumbufu ule ule anaopata mwanamke anapokuwa kwenye hedhi. Tofauti ni moja tu, kwamba mwanaume hatoki damu. Lakini kila mwezi, baada ya siku 28, hali fulani ya kiakili na kihisia itakuwa inajirudia.

Na kama umejaribu kujichunguza kwa mwaka mzima, utashangaa kwamba, ulikuwa na hasira mgomvi, mwenye huzuni na vingine vya aina hiyo, si hivihivi tu bali ni kwa sababu ulikuwa kwenye hedhi. Kama ukishafanya zoezi nililokwambia la dayari, jiulize, kama ulipokuwa kwenye hali hizo ulikuwa umekerwa na yeyote au chochote. Utagundua kwamba hukuwa umekerwa bali ulikuwa unasumbuliwa na hedhi yako.

Mwanaume na mwanamke wameumbwa kwa ‘matofali’ yaleyale, kwa maumbile yaleyale na baiolojia ileile. Tofauti yao ni kwamba mwanaume ni chanya na mwanamke ni hasi kama tungekuwa tunazungumzia umeme. Huwezi kupata umeme kwa kuwa na chanya mbili; wala ukitumia hasi mbili bali ukichanganya chanya na hisi. Hivyo, kama mwanamke anapata hedhi kama hatua muhimu kuelekea mwito wa kimaumbile, haiwezekani mwanaume asipitie hatua hiyo, ingawa kwa uchanya wake.

Kupata hedhi kwa mwanamke inaeleweka kwamba, ni kutokana na wito wa kimwili. Maana yake ni kwamba, alikuwa amefikia hatua ambapo kimaumbile alitakiwa kujamiiana ili apate ujauzito. Je, kama hakuna mabadiliko kwa mwanaume, itawezekana vipi mwanaume kujamiiana na mkewe ambaye yuko kwenye hitaji hili la kimaumbile?

Ina maana basi kwamba mwanaume naye ni lazima kila mwezi awe na mabadiliko ambayo yatamfanya aingie mahali ambapo atavutana na mwanamke kimapenzi. Hili ni suala la maumbile ili kufanya kuzaliana kuwepo. Utajuaje kuwa mwanaume ameingia kwenye hali hiyo? Ndiyo pale ambapo wataalamu wamegundua hizo siku nne au tano za mabadiliko ya kiakili kwa mwanaume!

Wanaume wakiingia mwezini huarisha sana sana
 
Habari wana JF
SAMAHANI NIMESHINDWA KUITAFSIRI KISWAHILI MAANA NILIPOIONA NIMEICOPY ILI KUSHARE NANYI
Pia kuna gazeti la hapa kwetu liliwahi kuandika habari hii pia
f64421f811bc515b0428962654d4565d.jpg



Is your man irritable? Does he growl at you if you dare to take a piece of the chocolate bar that he is eating, or seethe a little too angrily at the loss of the TV remote? Well, understand that maybe it’s his time of the month.

A quarter of British men believe they have ‘man periods,’ according to a new survey, reported by The Telegraph.
The poll of 2,412 people, commissioned by vouchercloud.com, made up of half male and half female respondents, revealed that 26 percent of men experienced conditions associated with the female menstrual cycle, including tiredness, cramps, and increased sensitivity.
Almost half the women surveyed—43 percent—said they helped their men through their ‘man period’ symptoms.
On how they attempted to do this, women showed themselves to be as lacking as men sometimes feel around their female partners. “Try and cheer him up” summed up the modus operandi of 44 percent of women with man-period suffering partners, while “walk around on egg shells” accounted for how 39 percent dealt with it.
Of the men suffering from ‘man periods,’ 56 percent said they were irritable, 51 percent said they were more tired than normal, 47 percent had increased cravings, while 43 percent said they were both constantly hungry and easily upset.
The Telegraph reported that 12 percent said that they were “more sensitive about personal weight.” Five percent reported even suffering from “menstrual cramps.”
The man who describes himself as suffering from man periods will spend an extra £81.53 a month (about $124.72) on purchases to satisfy his food cravings than a man who does not.
Not all of Britain’s households are in a state of multi-sexual, crampy sensitivity—or maybe it’s that a sizeable number of women simply don’t have the patience for these male ‘times of the month’: 33 percent of women who didn’t believe in the existence of the ‘man period’ had told their partners to ‘man up.’
As funny it all may sound, the ‘male period’ may be a very real, medically recognized phenomenon—albeit without the definitive monthly period bleed that women go through.
Professor Peter Schlegel, chairman of Urology at New York-Presbyterian and Weill Cornell Medicine, told the Daily Beast that while women “have very regular hormone cycles and there are obvious symptoms attached to them, men also have extraordinarily similar hormonal changes on a daily basis. Testosterone levels in younger men can vary four-fold in a typical day. What is less clear is how those levels vary day by day and week by week.”
While testosterone levels decline with age, Professor Schlegel said men with their doctors should judge if those levels had decreased to an abnormal level, deleteriously affecting their sex drive, behavior and mood, before seeking treatment.
Jed Diamond, therapist and author of The Irritable Male Syndrome, who is a believer in the “male period,” said that “men have hormonal cycles just as women do.”
Diamond, who also founded men’s wellness site MenAlive.com, says there are two crucial periods when men’s hormones shift: adolescence/young adulthood and midlife.
IMS is characterized by depression, anger, fatigue, moodiness, anxiety, lethargy, low libido, and confusion, he writes on his websites, which “can wreak havoc with a man’s closest relationships.”
Speaking to The Daily Beast, Diamond said he had written about one of the big hormonal shifts that men go through in his first book, the 1997 bestseller, The Male Menopause.
“The real changes in men’s hormone levels happen by the hour,” he said. “Men may not carry babies and have menstrual cycles as women do, but we do have the hormonal changes—fluctuations in body temperature, hot flashes—akin to women.”
If we observe puberty affecting boys and girls, Diamond said, and its raft of hormonal, psychological, physical, and sexual changes, we should be able to accept the same things affecting men as life continues.
IMS is marked, said Diamond, by hormonal changes, brain chemical changes, an increase in stress levels, and the effects of men’s roles changing as they age into their 40s.
“The word ‘hormonal’ has always been associated with women,” said Diamond. “The notion that men can be ‘hormonal’ is seen immediately as a joke. But the truth is, science says, that men have hormonal cycles just like women. Testosterone levels are higher in the morning, and lower at night.”
That joke about men thinking about sex four or five times an hour is rooted in a reality, Diamond said, given men’s daily hormonal fluctuations—and they have monthly fluctuations too.
Men feeling they may be affected by these changes detrimentally should track their cycles, said Diamond. “We have our own time of the month,” he said, adding that if you take away the biological specifics from a PMS (Premenstrual Syndrome) survey for women—tenderness of breasts, for example—many men will say they suffer the same emotions expressed by female respondents, like irritability and troubled sleeping patterns.
“The problem is that it just hasn’t been looked for, studied, and taken seriously,” said Diamond of the medical—and, among men and women themselves, personal—neglect of the “male period.”
The slightly good news, said Diamond, is that men and women in a heterosexual relationship or gay men in a relationship should not worry about their “cycles” synching to create a double-whammy “time of the month” household.
“In our research only women’s cycles synch with each other, men’s don’t synch with other men’s or women’s—so women in a relationship with each other can often experience that,” he said.
Around 70,000 men have taken Diamond’s IMS quiz on his website; his suggested solution to their problems include improving their diet and exercising more because men often overeat in response to IMS.
Where necessary, men may want to seek treatment to increase the production of testosterone if it is too low, he said.
So the next time your man is grouchy on the couch, let him have the remote, his chocolate and drink of his choosing, and perhaps, gently suggest he see his doctor. He may not be bleeding, but he’s feeling.
 
Hiki kitu binafsi naamini ni kweli maana kuna wakati unakuta nakasirika bila sababu na huwa naweza kufoka hata kwa kitu kisichokuwa na maana,muda mwingine huwa najisikia tu kukaa kimya sitaki kuongea na mtu.
 
Back
Top Bottom