Kumbe usafi ukizidi sana nao kero?

Kumbe usafi ukizidi sana nao kero?

Idhae

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
609
Reaction score
277
Jamaa mmoja jirani yangu ni msaf sana hadi mchumba wake waliotarajia kufunga ndoa december kasepa
1.chumba kinadekiwa karibu mara 20 kwa siku
2.akiingiia mgeni yeyote hata aliyekua mchumba ake akikalia makochi,vitambaa hivyo hubadilishwa mara moja kisha hufuliwa
3.huosha kwa brash na sabuni bomba la maji kabla ya kuteka maji
4.huosha pia kamba ya kuanikia nguo kwa brash na sabuni kisha huanika nguo zake
5.kabla ya kuoga husafisha au hudeki bafu kwa sabuni ya unga kisha huoga
6.hunukia pafium kila wakati na chumban kwake pia

Yaani ni msafi mpaka majirani wanamuogopa.
Sasa jana kuna dada alikuwa anamtania ya kuwa usafi alionao sio bure aende akaombewe na pia sio rahis kumpata mwanamke atakayekuwa msaf kiasi hicho, ndio huyo mchumba ake kasoma alama za nyakati kasepa

Amakweli kila kitu kikizidi hata kama ni kizuri huwa kero pia
 
me namtaka awe anasafisha ugali kwa sabuni kabla ya kula
 
Jamaa mmoja jirani yangu ni msaf sana hadi mchumba wake waliotarajia kufunga ndoa december kasepa
1.chumba kinadekiwa karibu mara 20 kwa siku
2.akiingiia mgeni yeyote hata aliyekua mchumba ake akikalia makochi,vitambaa hivyo hubadilishwa mara moja kisha hufuliwa
3.huosha kwa brash na sabuni bomba la maji kabla ya kuteka maji
4.huosha pia kamba ya kuanikia nguo kwa brash na sabuni kisha huanika nguo zake
5.kabla ya kuoga husafisha au hudeki bafu kwa sabuni ya unga kisha huoga
6.hunukia pafium kila wakati na chumban kwake pia

Yaani ni msafi mpaka majirani wanamuogopa.
Sasa jana kuna dada alikuwa anamtania ya kuwa usafi alionao sio bure aende akaombewe na pia sio rahis kumpata mwanamke atakayekuwa msaf kiasi hicho, ndio huyo mchumba ake kasoma alama za nyakati kasepa

Amakweli kila kitu kikizidi hata kama ni kizuri huwa kero pia

hapo kwenye red, nimeona uzi wako umetunga!!! hawezekani hata siku moja, ina maana hana kazi nyingine
 
Kuna watu wako hivyo. Ila hawako sawa ni ugonjwa wa akili. Anahitaji tiba. Ndugu yangu mmoja yuko hivyo huwa anatusumbua sana.
 
mmmmhhhh mengine uongo mtupu ndugu mwandishi umetia chumvi nyingi japo kuwa usafi ni muhimu
 
Kuna jamaa yetu mkikaa naye akihisi harufu mbaya tu atataka kuwapuliza pafyum hadi matakoni, kuna siku tuliamua kumzingua amekoma hadi leo manina zake.
 
Kuna jamaa yetu mkikaa naye akihisi harufu mbaya tu atataka kuwapuliza pafyum hadi matakoni, kuna siku tuliamua kumzingua amekoma hadi leo manina zake.

Hahahahaha!!!Duh!!Pafyumu hadi wapi???,,,,,,Manina zake!!
 
Kuna rafiki yangu mmoja yuko design hizo. Ni shidaaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom