Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
waheshimiwa Salaam.
Nilifika TRA kujiandikisha ili nipewe TIN kwa kupata Driving Licence mpya...nikaambiwa ni bure na ndani ya siku 7 naipata.
Lakini tangu Mwezi wa sita nilikua nasumbuliwa ''njoo baada ya wiki...mara kajiandikishe manzese...na maneno mengine kibao''
Leo nikawaondolea uvumilivu nikaenda kumweleza Region Manager nikapewa kiongozi (namuhifadhi) nmeshughulikiwa kila kitu leo leo.
Nawapa hongera viongozi aina hii.
Tuijenge Nchi kwa Pamoja.
Nawakilisha!
Nilifika TRA kujiandikisha ili nipewe TIN kwa kupata Driving Licence mpya...nikaambiwa ni bure na ndani ya siku 7 naipata.
Lakini tangu Mwezi wa sita nilikua nasumbuliwa ''njoo baada ya wiki...mara kajiandikishe manzese...na maneno mengine kibao''
Leo nikawaondolea uvumilivu nikaenda kumweleza Region Manager nikapewa kiongozi (namuhifadhi) nmeshughulikiwa kila kitu leo leo.
Nawapa hongera viongozi aina hii.
Tuijenge Nchi kwa Pamoja.
Nawakilisha!