johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Hapo awali tuliaminishwa Shujaa Maguful alikuwa analidharau Bunge kwa kutopeleka bungeni mambo muhimu yanayohitaji Usiri
Kumbe hata Marekani ni vivyo hivyo Serikali ya Biden imeiuzia kwa dharura Israel Silaha nzito nzito bila kulihusisha Bunge la nchi hiyo
Yule Maguful alikuwa Akili kubwa
Mungu amlaze Pema Peponi!
Kumbe hata Marekani ni vivyo hivyo Serikali ya Biden imeiuzia kwa dharura Israel Silaha nzito nzito bila kulihusisha Bunge la nchi hiyo
Yule Maguful alikuwa Akili kubwa
Mungu amlaze Pema Peponi!