kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 126
- 9
mimi sikujua kama vazi hili linavaliwa na viongozi pia na kwa mila na desturi zetu huku kiongozi hawezi vaa kama Mama Obama na akatemdea mtaani kama hivyo.
skin tight mbona ni vazi tu ila linavaliwaje ndio tatizo, hapo naona mamaa kaivaa ndani ya dira good.
Inasaidia maanake anaweza kuteleza kwenye ngazi halafu Wapiga kura wakaona vinavyostahili kuonwa na Mpigiwa kura pekee.View attachment 66162 nilifikiri kwa sisi wa uswazi tu,kumbe vazi hili ni maarufu.