Kumbe polisi nao majambazi?!

Kumbe polisi nao majambazi?!

gervase

Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
41
Reaction score
5
Nimefanya ka mini-research barabarani nikasafiri kutoka ngara kupitia kahama, nzega, singida hadi Arusha. Katika vituo vyingi vya polisi (about 75%)ya vyote, dreva na kondakta mmojawapo anatoka nje kwenda nyuma ya gari kumrekebishia trafiki au polisi. Mwisho wa safari nilimuuliza ameachia ngapi akajibu kawaida kila kituo lazma zibaki jero kumi, na wastani lazima kilo tatu ziishe kwa kila safari. Kwa mtindo huu naona hawa jamaa nao pia ni majambazi ingawa wao hawafyatui risasi. Mbinguni ni mbaaaali!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom