Kumbe ni vipande sio Computer!

Kumbe ni vipande sio Computer!

Uyanjo family

Member
Joined
Oct 19, 2019
Posts
69
Reaction score
101
20191019_170303.jpg

Kwa sisi ambao hatujui kuwa Computer ina vipande mje hapa tujadili kidogo
 
Walichomoa batani ya kuzimia/kuwasha. Wakachomoa key-board.....
 
Huyu Mahiga sijui anatuona sote tuna akili kama zake?
 
Kama zimechomolewa Hard disk...

Inamaanisha ndiyo kuibiwa taarifa kwenyewe huko...

Au hivyo vipande anamaanisha, ni keyboard, mouse na mouse pad...


Cc: mahondaw
 
Mtu anakwambia madawati ya shule yameibiwa.Mwalimu wa zamu anasema madawati ya shule hayajaibiwa ila yameibiwa madawati ya darasa la saba tu.
 
Mtu anakwambia madawati ya shule yameibiwa.Mwalimu wa zamu anasema madawati ya shule hayajaibiwa ila yameibiwa madawati ya darasa la saba tu.
😂😂😂Mkuu sio tena dawati watasema walichomoa misumali lakini mbao zote zipo salama.Wanaona bado watanzania ni wa miaka ya 1900.
 
Back
Top Bottom