Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

Maudhui ya hii habari sio mpya, ni kama ya hao wengine unaosema wanajaza server.

Siku hizi umekuwa mshauri wa DAUD, Kuna kipindi ulimshauri vizuri kuwa aonyeshe vyeti vyake ili kujiweka clean, lakini leo umegeuka tena, Sasa BASHITE ashike lipi? Maana kila siku unakuja kivingine.

Kusoma raha sana, Mimi ukiniulizia vyeti vyangu hata nikiwa usingizini nakupatia.

Wala singehitaji akina PASKAL na LEMUTUZ waje kunitetea.
 
Boss Pascal Mayalla siku hizi umeamua makala zako uziandike "Kinyume Nyume". Msg Send and Delivered.


 
Duu wengi hawajamuelewa huyu jamaa!

Anachofanya hapa ni ujanja tu wa kupenyeza tips za namna ya kukusanya evidence kuhusu huu mtanange wa vyeti ili kama kuna mdau anataka kuingia chimbo basi apate mwongozo. Mengine yote porojo tu kupoteza maboya!
 
Umewakwepa vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…