figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
hiyo nimeamini baada ya baadhi yaviongozi na mashabiki wa simba kujiapiza eti na wao lazima waishangilie na kuisupport zamalek eti kwa sababu yanga walizomea siku kili star ilipokuwa ikicheza mechi katika mashindano ya cecafa. sasa hivi simba wana mpango wa kuagiza jezi za zamalek ili siku itakapo pambana na yanga waishangilie.
haya mambo ya usimba na yanga ndio yanaharibu soka la bongo. Haya mambo ya usimba na uyanga anayaendekeza sana julio ndo maana alizomewa akakimbia. Mia
haya mambo ya usimba na yanga ndio yanaharibu soka la bongo. Haya mambo ya usimba na uyanga anayaendekeza sana julio ndo maana alizomewa akakimbia. Mia