Wao hawana akili?Kocha gani anachagua timu mbovu?Kama vipi wangekataa kazi.wakina julio wamewekwa kama mtego ili kuwaziba mdomo makocha wazawa. walitaka watu waseme wazawa hamna kitu ili waendelee kula 10% ya makocha wageni. Tunao makocha wazawa wengi tu. Julio katumika kama chambo kuwaaibisha makocha wazawa. wanajua hana uwezo. Mia