Kumbe ni Dk Mukama

Kuna wakati VOA walikuwa wanajadiliana na Mhadhiri wa UDSM Bashiru Alli na kumwita Prof. wakati nijuavyo mimi hata PhD hana. Inawezekana kupachikana titles kirahisi kama hivi. Mwacheni Mukama aitwe Dk - suala ni je ana- behave hivyo?

Mimi ninavyofahamu ni kwamba kuwa professa ni kufundisha chuo kikuu. Haijalishi una masters au PhD kama unafundisha chuo kikuu basi wewe ni professor at the university. Ndivyo marekani na ulaya inavyojulikana. Kwa system yetu tuna assistant lecturers na lecturers lakini kwa professional hiyo hiyo na huku kwa wenzetu wana assistant professors na full professors. kwa hiyo mwandishi wa VOA atakuwa hajakosea.

Pamoja na hayo issue ya Mukama kuitwa Dr. pale Mzumbe pamoja na yale niliyomsikia anayasema inabaki kama kichekesho cha aina yake. Hivi hawa ccm ni mdudu gani amewaingia kichwani? Kila wakati wanabwabwaja tu maneno bila vitendo. Oh, mafisadi siku zao numbered, oh hatuwaogopi mafisadi, hawatambui kwamba matendo yao yanazungumza kuliko hata maneno yao. Hivi na hao wanafunzi wa mzumbe waliomwalika na kusikiliza propanganda zake wana akili kweli?
 
Kuna wakati VOA walikuwa wanajadiliana na Mhadhiri wa UDSM Bashiru Alli na kumwita Prof. wakati nijuavyo mimi hata PhD hana. Inawezekana kupachikana titles kirahisi kama hivi. Mwacheni Mukama aitwe Dk - suala ni je ana- behave hivyo?[/QUOTE]

Kwani mtu anatakiwa ku-behave vipi ili apewe udoctor? Nilidhani lazima akate shule ya ukweli kumbe behaviour?
 
TBC wanaelekezwa tu,watafanyaje kitu keshatekwa na siasa?wakati wa uchaguzi mwaka jana walijitahidi sana kuweka DK kabla ya jina la JK,ikumbukwe kwamba PHD alishapewa mda kabla ya uchaguzi lakini walikuwa hawakazii sana na mara chache walikuwa wanamwita DK
 
Sasa hivi kuna mamulaka nyingi zinazotunuku u-daktari baada ya kuona kwamba mahitaji ni makubwa.
1. wapo waliojiita tu
2. wapo wanaopewa na sekretarieti za vyama vya siasa
3. wapo wanaopewa na spika
4. wapo wanaopewa na vyombo vya habari vya serikali
5. pia wapo wanaopewa na vyuo vyetu vikuu baada ya kuwashibisha wahadhiri.
 
Kuna wakati VOA walikuwa wanajadiliana na Mhadhiri wa UDSM Bashiru Alli na kumwita Prof. wakati nijuavyo mimi hata PhD hana. Inawezekana kupachikana titles kirahisi kama hivi. Mwacheni Mukama aitwe Dk - suala ni je ana- behave hivyo?[/QUOTE]

Kwani mtu anatakiwa ku-behave vipi ili apewe udoctor? Nilidhani lazima akate shule ya ukweli kumbe behaviour?

Ku-behave tu,unakuwa dk?Kwa wakuu wako au?
 
Mimi ninavyofahamu ni kwamba kuwa professa ni kufundisha chuo kikuu. Haijalishi una masters au PhD kama unafundisha chuo kikuu basi wewe ni professor at the university. Ndivyo marekani na ulaya inavyojulikana. Kwa system yetu tuna assistant lecturers na lecturers lakini kwa professional hiyo hiyo na huku kwa wenzetu wana assistant professors na full professors. kwa hiyo mwandishi wa VOA atakuwa hajakosea.Pamoja na hayo issue ya Mukama kuitwa Dr. pale Mzumbe pamoja na yale niliyomsikia anayasema inabaki kama kichekesho cha aina yake. Hivi hawa ccm ni mdudu gani amewaingia kichwani? Kila wakati wanabwabwaja tu maneno bila vitendo. Oh, mafisadi siku zao numbered, oh hatuwaogopi mafisadi, hawatambui kwamba matendo yao yanazungumza kuliko hata maneno yao. Hivi na hao wanafunzi wa mzumbe waliomwalika na kusikiliza propanganda zake wana akili kweli?
mh mh! Hii kali ya mwaka.
 
Kuna wakati VOA walikuwa wanajadiliana na Mhadhiri wa UDSM Bashiru Alli na kumwita Prof. wakati nijuavyo mimi hata PhD hana. Inawezekana kupachikana titles kirahisi kama hivi. Mwacheni Mukama aitwe Dk - suala ni je ana- behave hivyo?

VOA hawajakosea. Wenzetu wana mifumo tofauti na UK. Kwa mfano hivi karibuni nilienda ubalozi wa US kuchek VISA na mimi level yangu ni kama ya Bashiru, nikawa najaza fomu fulani, nikawa na hangaika kutafuta title yangu, nikawa sioni. Mtu mmoja kanishtua na kuniambia jaza hii hapa ndo wanayotambua (Prof.) nikajawa na maswali mengi tuu. Nikataka kupata maelezo inakuwaje niitwe prof. wakati hata Phd sijaanza, jamaa kwa kuwa amekaa Marekani muda mrefu ndo akanipa hiyo story kuwa wao ukishakuwa academician katika chuo kikuu ndo hivyo they will call you Prof.
 
VOA hawajakosea. Wenzetu wana mifumo tofauti na UK. Kwa mfano hivi karibuni nilienda ubalozi wa US kuchek VISA na mimi level yangu ni kama ya Bashiru, nikawa najaza fomu fulani, nikawa na hangaika kutafuta title yangu, nikawa sioni. Mtu mmoja kanishtua na kuniambia jaza hii hapa ndo wanayotambua (Prof.) nikajawa na maswali mengi tuu. Nikataka kupata maelezo inakuwaje niitwe prof. wakati hata Phd sijaanza, jamaa kwa kuwa amekaa Marekani muda mrefu ndo akanipa hiyo story kuwa wao ukishakuwa academician katika chuo kikuu ndo hivyo they will call you Prof.
Kama sikosei neno lenyewe la lina asili ya kifaransa,ambalo wao huita mwalimu.
 
CCM wameamua kuua kabisa hadhi ya elimu Tanzania kwa kuita kila mtu dokta hadi mbwa sasa wataitwa madokta
 
Kaka azimio we hua unapita tu unapita tu!!!!!haya! Ulipitaje jana na hali mafuta hayakuwepo au tz11!!!!!!!!!!!!! Amakweli ccm ni chama cha madokta!
 
Kaka azimio we hua unapita tu unapita tu!!!!!haya! Ulipitaje jana na hali mafuta hayakuwepo au tz11!!!!!!!!!!!!! Amakweli ccm ni chama cha madokta!
Ama kweli ni chama cha madokta.Hivi huyu aliyeuza kinyemela UDA nae ni Dr wa nini vile?
 
CCM wameamua kuua kabisa hadhi ya elimu Tanzania kwa kuita kila mtu dokta hadi mbwa sasa wataitwa madokta
Kwa kweli tunaelekea kubaya,hawawezi kufanya siasa mpaka uwe Dr. hata kama hustahili..!
 
Back
Top Bottom