Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,840
- 2,425
Uyo ikitokea baati mbaya akachomwa bisibisi na teja wa vingunguti,na umauti ukamkuta nchi isipoweza kujitetea wanaingamiza bila hata umoja wa mataifa kuingilia.
Ndomana nimekwambia kama unabisha bishaa ww si nyani tu kama mimi.






Tulia weweeUyo ikitokea baati mbaya akachomwa bisibisi na teja wa vingunguti,na umauti ukamkuta nchi isipoweza kujitetea wanaingamiza bila hata umoja wa mataifa kuingilia.
Tulia wewee
kwa hili jibu ni tosha kuwa imeeleweka hili,cjui unakumbuka ile wokozi wa entebe airport hawa jamaa kuna ndege iliwateka waisrael nadhani walikuwa ni wengi tu,sasa yale magaidi yakatua uwanja wa ndege wa uganda kwa kujaza mafuta nahisi kisha waendelee na zao ohooo nusu saa tu,kikoc cjui kilitokea wap cha waisrael wakafika wakawatwanga wale magaidi wakachukua raia wao wakala kona,...Huko gaza habari wanazoHutu tudada Ndiyo tunapiga wanaume wote wa Arabuni na Uajemi!!!
Siri ya jeshi hahahaHivi kwanini jkt vijana wanazuiwa kuja na simu au kujipiga picha kama hivo?
Wanajeshi wa kike wa kibongo ndiyo wangekuwa hivyo? Mtaani wangesumbuliwa Sana!
Asilimia kubwa hoa ni mujibu wa sheria wa uko Israel kama ilivyo huku kwetu wale vijana wa jkt mujibu wa sheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine hapo ni malesb nimeona yanataka kuvishana pete