Kumbe ndio maana wanalia…!

Kumbe ndio maana wanalia…!

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,438
image68.png


Wanasaikolojia wanadai wamethibitisha kwamba wasichana wengi hujikuta wakiolewa na wanaume ambao ni sawa na baba zao kitabia.

Kumbe ndio maana akina mama wengi huwa wanalia sana wakati binti zao wanapoolewa……!
 
Its true daddii. Ila Paw sijui kama aanafanana na wewe manake siku hizi una tabia!
 
1.wanawaonea wivu kwa vile mwanaume ni sawa na mme wake
2. kama mme wake ni mkorofi anadhani na mwanae ameolewa na mme mkorofi
3. kama mme wake ana dushelele kuuuubwa la kuumiza au ndoooooogo kibamia anamhurumia mwanae!
...
 
nimezoea kila cku kupata ndefu bana, leo naona kafupiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii imenibidi niulize kulikoni au ndo washamchakachua

na kweli ndefuuu huwa ni tamu, hizi fupi hazifikishi popote unaishia kubaki na kiu.
 
nimezoea kila cku kupata ndefu bana, leo naona kafupiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii imenibidi niulize kulikoni au ndo washamchakachua

Huwa zinachosha bwana....hii ya leo safi sana
Thread ndefu zinachosha kusoma!!!!
 
kwa hiyo kama mume/baba mgegedaji anahofia mwanae kuvaa miwaya????
 
Back
Top Bottom