Kumbe Nape Nnauye ni mjinga hivi

Kumbe Nape Nnauye ni mjinga hivi

usawa wa kulia

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
454
Reaction score
154
Eti anaulizwa majina 5 ni yapi anasema atayataja kesho saa nne, bila kujua kua kuna wajumbe mule ndani hawakuelewana, watatoa siri either wataambia ndugu zao au jamaa zao, mbona watu tumejua majina 5 toka jana tu kikao kilipomalizika basi hata hiyo saa nne usituambie tushajua.
 
eti anaulizwa majina 5 ni yapi anasema atayataja kesho sanne, bila kujua kua kuna wajumbe mule ndani hawakuelewana, watatoa siri either wataambia ndugu zao au jamaa zao, mbona watu tumejua majina 5 toka jana tu kikao kilipomalizika basi hata hyo sanne usituambie tushajua

ni akina nani sasa?
 
kingunge kajitoa povu buree kwnye media haya tunasubiri hayo mashimo.
 
ni akina nani sasa?

ImageUploadedByJamiiForums1436588485.798779.jpg
 
subirini taarifa rasmi pengine tumetegwa tu ili waone mtazamo wa wananchi
l
 
Ikulu sio ya baba yako kuwa ukiitaka unapewa tu alaaaaaaaah
 
eti anaulizwa majina 5 ni yapi anasema atayataja kesho sanne, bila kujua kua kuna wajumbe mule ndani hawakuelewana, watatoa siri either wataambia ndugu zao au jamaa zao, mbona watu tumejua majina 5 toka jana tu kikao kilipomalizika basi hata hyo sanne usituambie tushajua
Imekuchukuaje muda wote huu kulitambua hili kweli!? basi kubali kuwa wewe ndiye mjinga na shukuru Mungu umejifunza leo maana wengi hawajatambua hili!

 
Back
Top Bottom