Kumbe nacheza uwanja mmoja na baba

Wasalam wakuu,

Ni wiki ya tatu sasa tangu mama asafiri kwenda kwenye msiba huko nyumbani kwao, nyumbani tumebaki mimi, baba na mfanyakazi wetu wa ndani.

Kwa vile mimi nimeshamaliza chuo na muda mwingi huwa nashinda nyumbani (sina kazi) nimejikuta nikiingia katika mahusiano ya mapenzi na huyu msichana waa kazi.

Juzi usiku kama kawaidayangu nilienda chumbani kwake ila sikumkuta ikabidi nitege mingo ili nijue huyu msichana kaenda wapi, baada ya kama lisaa 1 nilishtuka kuona mlango wa kwa baba unafunguliwa na yule msichana wa kazi kakatoka na kwenda chumbani kwake.

Niliumia sana kuona kile kitendo si kwa wivu wa mapenzi bali kwa kile kitendo alichofanya baba na ukizingatia anamke wa ndoa (mama yangu).

Wadau naombeni busara zenu kuwa anachokifanya sio kizuri au nimwambie na bi mkubwa?
Kula nae kwa zamu
 
Hiyo ni vita ya kiuchumi kabisa na baba yako ni beberu. Hiyo mali ni yako kabisa komaa nayo mpaka mdingi wako ajue, akijua atanyosha mikono mwenyewe.
 
Pamoja mkuu nitajaribu kumuanzishia figisu figisu huyu beki 3 Ili atimuliwe tu.
Acha mazoea na beki3 na acha fitina kwa baba yako, utapotea vibaya, utapata mpaka magonjwa ogopa kbsa jifanye hujui na usimchukie HG, na usiombe shoo, mengine jazia mwenyewe.
 
Endelea nae tu! na ukute mshua anatambua kuwa wewe unapga pia na ili ujue km mshua anajua ngoja ashike mimba ya mshua fasta habari zitafika kwa bi mkubwa kuwa umeshampa mimba beki3
 
Msukumo wa moyo unapoizidi nguvu akili....uso unakosa haya Na matendo ya ajabu yanashika hatamu......
 
Back
Top Bottom