Kumbe nacheza uwanja mmoja na baba

Wasalam wakuu,

Ni wiki ya tatu sasa tangu mama asafiri kwenda kwenye msiba huko nyumbani kwao, nyumbani tumebaki mimi, baba na mfanyakazi wetu wa ndani.

Kwa vile mimi nimeshamaliza chuo na muda mwingi huwa nashinda nyumbani (sina kazi) nimejikuta nikiingia katika mahusiano ya mapenzi na huyu msichana waa kazi.

Juzi usiku kama kawaidayangu nilienda chumbani kwake ila sikumkuta ikabidi nitege mingo ili nijue huyu msichana kaenda wapi, baada ya kama lisaa 1 nilishtuka kuona mlango wa kwa baba unafunguliwa na yule msichana wa kazi kakatoka na kwenda chumbani kwake.

Niliumia sana kuona kile kitendo si kwa wivu wa mapenzi bali kwa kile kitendo alichofanya baba na ukizingatia anamke wa ndoa (mama yangu).

Wadau naombeni busara zenu kuwa anachokifanya sio kizuri au nimwambie na bi mkubwa?
"...Kizuri daima hakidumu, shida kitaletewa tu suluhu sio kmwambia mzee wako, huyo dada kashapoteza Dira na life gumu alilopitia ndo linamtia hasira"
 
Huwezi kujua aliyeanza nani... Ila huyo binti kiboko anaifahamu ya baba na ya mtoto... Huu ni uuaji wa wazi kabisa
Kwa akili za ki fullback aliona afanye hivyo kulinda ajira yake kwani anaona hana cha kupoteza kufanya colabo hiyo.Hapo ndipo maadili yametufikisha wanamume sisi waqt mwingine tunakera sasa hata kama ni upweke ndo ufanye self container(yaani unamalizia kila kitu ndani)?dogo kausha tu usipige filimbi kwa mshua wala bimkubwa wala huyo expert kufa kizungu ila achana nae.
 
We kaa na mshua kama wanaume mjadili hali ya mambo(kuhusu mahusiano yenu na huyo b3) ilipofikia Kisha mpate suluhisho juu ya nini cha kufanya kuishi kwa amani kama familia kwa sababu usipoongea na mshua huyo boya atawachanganya na kuharibu mahusiano yenu kama baba na mtoto achilia mbali kuvunja ndoa na kusambaratisha família.
 
duh usiseme mkuu utaafarakanisha ndoa ya wazazi wako... muhimu ni kuacha mahusiano na huyo binti na pia jitahidi kufanya binti ajue kuwa unajua mshua anapiga hapo...... au kama vipi potezea mazima
 
mimi imeniuma tu jinsi mshua wako anamgonga chumbani kwa mama .. hapo ndiyo imeniuma zaidi .. angemgongea hata nje tu
 
Ila kuna ma beki 3 wengine watamu nyie acheni tu. Lol
Nakumbuka kitambo aliletwa beki 3 flan home mtoto wa kipare (uzuri maza alikua na tabia ya kuwafanyia check up at tyms bila wao kujijua just for family safety and all cz madogo walikua young at the time)

Tokea nimpande yule mtoto marupurupu kwangu home pale yakawa hayaishi. Tehe nguo zangu narudi zimefuliwa, safi, zimepigwa pasi sanaa tu. Daaah

Yaweza ikawa mleta mada analia na mengi. Hahaha
 
Usiingilie mahusiano ya wazazi wako,kwani unawajua wanatembea na mama yako,inawezekana baba anawajua na hawezi kukuambia wewe, maliza shule, tafuta kazi kaanzishe familia yako ndiyo ujue changamoto za ku raise family.
 
Hiyo familia yenu ina matatizo kuanzia baba hadi wewe, house girl ni sawa na mtoto wa hapo nyumbani, nyie ndo mmefanya kigodoro. Kwa umalaya wenu mtamwambukiza mama wa watu magonjwa. Hakika kwenye mambo ya kipuuzi kama haya siwezi kuwa na subira. Mwambie tu mama yako ili aanze, hayupo kwenye mazingira salama.

Yupo beki tatu aliangamiza familia nzima, na walikuja jua source in beki tatu, wakati wakiugua.
 
Back
Top Bottom